mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,851
Akijibu hili Paskali ntakimbilia ccm!! Paskali anaogopa kivuli Chake mwenyewe!!Ndg Mayalla, nyie wa vyombo vya habari mnaogopa kufanya live coverage ya mikutano ya Lissu kwa sababu mnazozijua wenyewe. Hata magazeti, almost yote yanakuwa na title moja tu ya Magufuli, na kapicha KADOGOOOOO ka vyama vya upinzani. Hatujawahi kushuhudia uoga wa wanahabari kwa tawala za huko nyuma kama huu tunaoushuhudia sasa. Kweli tunajua mna watoto wa kulea, mnaogopa kufungiwa, lakini mmezidi mno.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app