Yaliyojiri katika Maadhimisho ya Mei Mosi - Mbeya

Uhuru kenyata ametangaza kuongeza kipato cha chini kwa 14% mwenzetu anapiga soga tu!!!!
 
Porojo nyiiingi kwenye hii thread yaani sijaielewa kabisa. Hebu tuwekeeni HOTUBA ya mh.Rais Dr.J.Kikwete nasi tuisome. Tuko mbali huku wengine hata TV hazishiki.

Mkuu hii ni summary ya hotuba(porojo) unazoitaji kuokoa muda na nguvu zako
 
vipi John Mwakipesile alionekana?? Maana aliwahi kujiita Rais wa Mbeya.
 
Wanajamvi. Nafuatilia yanayojiri Mbeya. Lakini Napata shida sana nikiangalia maandamano ya wafanyakazi naona wanawake ni wengi zaidi ya wanaume, hasa waalimu. Kwanini hasa gender imbalance kubwa hivi? Wanaume hawaoni umuhimu wa siku hii ya leo au ndo wamekata tamaa zaidi kuliko dada zetu na mama zetu? Tunaweza kujadili kuhusu uvumilivu na ustahimilivu hapa? Naomba mtiririke lakini tuache yale maneno makali na ya dharau. Nawasilisha.


Kwa sababu hawa dada zetu huwa wakiona watu wanashangilia nao wanashangilia. Wakiona watu wanalia nao hulia. Huwa ni rahisi kutumiwa kwani wanabadlika sana kulingana na mazingira. Mwanaume mara zote huwa anajiuliza atafaidika na nini kabla ya kujihusisha na tukio lolote
 
user-online.png
KOMBAJR
JK- Hotuba



  • Wameipokea hotuba ya Katibu wa TUCTA na wataifanyia kazi sababu imekamilika katika idara zote.
  • Serikali kutokuongeza mishahara kwa wafanyakazi kwa muda husika hakutokani na mtimanyongo bali ni hali halisi ya kipato cha serikali
  • serikali wataunda chombo cha kusimamia utekelezaji wa mambo mbali mbali kwa kuanza wataanza na sekta 6
  • Ajira 168,000 zimezalishwa kufikia mwisho wa mwaka jana
  • Kodi kwenye PAYE Kupunguzwa 13% mpaka.......... waziri wa fedha atatangaza kwenye bajeti
  • waligundua kasaro nyingi katika Mamilioni ya JK, watu wengi walipewa pesa bila kupewa mafunzo ila kwasasa watazingatia hilo katika kutoa mikopo kwa Vijana na wanawake.
  • Serikali wanaanzisha utaratibu wa kuwakopesha nyumba wafanyakazi ili kuwapunguzia ukali wa maisha
  • Kiwanja cha mbeya cha songwe Umekamilika hii inafungua biashara na kukuza uchumi kwa mikoa ya iranga,Njombe na Mbeya
  • Wanambeya wanapata fursa ya kupata historia ya Malkia wa Uholanzi na uhusiano na Tanzania.....Duh!
  • fursa za kilimo cha maua kutokana na miundo mbinu zilizopo katika mikoa tajwa, makampuni ya kigeni yatakuwa ila ndiyo mambo ya eeh!this one eeh dont worry hakuna
  • Mbeya kufikia mwaka 2018 hakutakuwa na tatizo la maji kabisa.
  • Anazungumzia Udini watanzania wajiepushe na migogoro inayotokana na imani
  • Turejee enzi za mababu za waislamu na wakiristo kushirikian
  • JK amezindua Gazeti la Mfanyakazi

Hapo kwenye Bold kumeniacha hoi.Yaani kutoka 14 kwenda 13= 1%
Ama kweli maisha bora kwa Mtanzania ni ndoto.
Ebu tuangalie hesabu rahisi.
Kima cha chini kisicho lipiwa kodi 170,000/=

Mfano mfanyakazi awali aliyekuwa anapata 200,000ts kama mshahara.
Hesabu zake;
200,000-10%nssf=180,000-170,000=10,000 KIASI KINACHOTAKIWA KULIPIWA KODI YA 14% =1400/=
Baada ya punguzo;200,000-10%nssf=180,000-170,000=10,000/= ''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''' YA 13% =1300/=
Tofauti ni 100/=

Hivi kweli 100/= ya kitanzania kwa mwezi huku ni kutaniana au nini!
ebu angalia 100 gawanya kwa siku 30 =3.33/=tsh


Nadhani hawajachelewa naishauri Serikali pamoja na ukata punguzo ya Kodi au nyongeza yoyote ya mishahara lazima iwe na mguso kwa wafanyakazi.
Kwa lugha nyepesi nyongeza iwe na dhamani au nguvu ya ununuzi wa vitu .Mfano kwa siku iweze hata kununua kitumbua moja ya mtoto mdogo (300/=)
 
Hapo kwenye Bold kumeniacha hoi.Yaani kutoka 14 kwenda 13= 1%
Ama kweli maisha bora kwa Mtanzania ni ndoto.
Ebu tuangalie hesabu rahisi.
Kima cha chini kisicho lipiwa kodi 170,000/=

Mfano mfanyakazi awali aliyekuwa anapata 200,000ts kama mshahara.
Hesabu zake;
200,000-10%nssf=180,000-170,000=10,000 KIASI KINACHOTAKIWA KULIPIWA KODI YA 14% =1400/=
Baada ya punguzo;200,000-10%nssf=180,000-170,000=10,000/= ''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''' YA 13% =1300/=
Tofauti ni 100/=

Hivi kweli 100/= ya kitanzania kwa mwezi huku ni kutaniana au nini!
ebu angalia 100 gawanya kwa siku 30 =3.33/=tsh


Nadhani hawajachelewa naishauri Serikali pamoja na ukata punguzo ya Kodi au nyongeza yoyote ya mishahara lazima iwe na mguso kwa wafanyakazi.
Kwa lugha nyepesi nyongeza iwe na dhamani au nguvu ya ununuzi wa vitu .Mfano kwa siku iweze hata kununua kitumbua moja ya mtoto mdogo (300/=)

Mkuu kwa maelezo JK ilianzia 18%,ikashuka 15% na mwaka Jana ikafika 13% inatarajia kushuka tena mwaka huu kwenye bajeti itakayosomwa na waziri wa fedha itagusa hilo pia.....Sijaongeza Neno
 
Mkuu kwa maelezo JK ilianzia 18%,ikashuka 15% na mwaka Jana ikafika 13% inatarajia kushuka tena mwaka huu kwenye bajeti itakayosomwa na waziri wa fedha itagusa hilo pia.....Sijaongeza Neno

toa elimu kijana,jamaa c wanajaribu kutumia lugha za kisiasa na kitaalamu kidogo wawachanganye watumishi.
 
Hapo kwenye Bold kumeniacha hoi.Yaani kutoka 14 kwenda 13= 1%
Ama kweli maisha bora kwa Mtanzania ni ndoto.
Ebu tuangalie hesabu rahisi.
Kima cha chini kisicho lipiwa kodi 170,000/=

Mfano mfanyakazi awali aliyekuwa anapata 200,000ts kama mshahara.
Hesabu zake;
200,000-10%nssf=180,000-170,000=10,000 KIASI KINACHOTAKIWA KULIPIWA KODI YA 14% =1400/=
Baada ya punguzo;200,000-10%nssf=180,000-170,000=10,000/= ''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''' YA 13% =1300/=
Tofauti ni 100/=

Hivi kweli 100/= ya kitanzania kwa mwezi huku ni kutaniana au nini!
ebu angalia 100 gawanya kwa siku 30
=3.33/=tsh

Nadhani hawajachelewa naishauri Serikali pamoja na ukata punguzo ya Kodi au nyongeza yoyote ya mishahara lazima iwe na mguso kwa wafanyakazi.
Kwa lugha nyepesi nyongeza iwe na dhamani au nguvu ya ununuzi wa vitu .Mfano kwa siku iweze hata kununua kitumbua moja ya mtoto mdogo (300/=)

Yap hili ni changa la macho....check hapo kwenye red mkuu
 
Kwa sababu hawa dada zetu huwa wakiona watu wanashangilia nao wanashangilia. Wakiona watu wanalia nao hulia. Huwa ni rahisi kutumiwa kwani wanabadlika sana kulingana na mazingira. Mwanaume mara zote huwa anajiuliza atafaidika na nini kabla ya kujihusisha na tukio lolote

kwa sehemu ni busara japo zaidi ni kuto jiamini kwa akina dada na akina mama,hivi umesha wahi kuona nyaraka zinazo kwenda maofisini kutoka central gvt ktk kuhamasisha wafanya kazi kuhusika na shughuli hz?japo kizushi,2naweza kusema waco fika ni TEMBO walihofu uwepo wa A.KINANA.Naomba kuwasilisha.
 
Mkuu kwa maelezo JK ilianzia 18%,ikashuka 15% na mwaka Jana ikafika 13% inatarajia kushuka tena mwaka huu kwenye bajeti itakayosomwa na waziri wa fedha itagusa hilo pia.....Sijaongeza Neno


Naona/hisi kama unajitetea.
Usiwe na wasiwasi. Inawezekana ulimi wa Jk uliteleza lakini hainishangazi ila angalia hapo chini.



PAYING TAX>Pay As You Earn (PAYE)

Costs
TZS 14% of (salary between 170,000 and 360,000)
TZS 20% of (salary between 360, 000 and 540,000. Add 26,600)
TZS 25% of (salary between 540,000 and 720,000. Add 62,600)
TZS 30% of (salary exceeding 720,000. Add 107,600)
TZS 6% of (total payroll is Skills and Development Levy (SDL))
 
Leo nilikwenda kwenye maandamano ya wafanyakazi ambayo kwa mwaka huu kitaifa yalikuwa hapa jijini Mbeya. yafuatayo ndo yalijiri katika sikukuu hii ya leo ambayo baadhi ninauhakika hayakuonekana katika vyombo vyetu vya habari:

1. Mgeni rasmi, mh. JK alichelewa sana kufika uwanjani, ambapo alifika saa 5.30 wakati tulikuwa tumechoka kusimama barabarani kumsubiri.

2. Milango yote ya uwanja ilikuwa na security scanner ambapo kila mwanachi aliyeingia alitakiwa kupita katika mashine hiyo na kama una kifaa chochote cha ki electroniki ulitakiwa kukipitisha katika screening chamber/booth.

3. Sisi tulioingilia geti kubwa kwa maandamano tulikuwa screened kupitia scanner kubwa iliyokuwa imezungukwa na mashushu wakiangalia kwa umakini mkubwa.

4. Kwa mara ya kwanza niliona askari wa FFU waliokuwa wakining'inia pembeni ya land rover wakiwa katika silaha ndogo mpya (pistol) zikiwa kwenye cover za kisasa na siyo tena zile pochi za kushonwa na wachaga. Jamaa yangu akanidokeza ya kuwa jana walikabidhiwa na kuanza kuzifanyia mazoezi na kuzizoea kisha zikakusanywa.

5. Nilifanikiwa kuona kikosi cha pili ndani ya landrover nyingine ikiwa na askari wa FFU wa kutoshwa wakining'inia kwa nje bila ya silaha zozote. Nilipochungulia ndani kumbe walikuwa wamelaza vifaa vya kazi wakisubiri kama kutatokea tukio lolote.

6. Mgeni rasmi alipotea jukwaani kwa takribani dakika 20 hivi huku wananchi wasijue alikokwenda. Kisha alirudi na kukaa kwenye kiti huku meza kuu wakilazimishwa kukaa kwani mkuu alikuwa amechoka kusimama.

7. Baada ya dakika chache walimletea koti, kwani baridi nahisi ilianza kumkolea kwa kuwa kamvua kalimuwa kakinyesha pia.

8. Hotuba yake ilijaa ahadi tele kama kawaida.

9. Kwa kuwa tulijaa sana, Mheshimiwa alifarijika sana kwa moyo wa upendo tuliouonyesha.

10. Baada ya sherehe tulikwenda kuchukua posho yetu ambayo sintapenda kuitaja hapa

KWA HAKIKA SHEREHE YA WAFANYAKAZI ILINOGA SANA.

solidarity forever
 
Karibu yote uliyotaja tumeyaona pia kuyasikia ktk Luninga zetu na radio;labda hayo machache kama: mambo ya security scanner, silaha ndogo nk.
Anyway, tunashukuru kutujuza.
 
Back
Top Bottom