Yaliyojiri katika Maadhimisho ya Mei Mosi - Mbeya

Kwahiyo unataka kutuambia
kwamba waalimu wanawake ni waoga au wanajali? Je wanaume ni jasiri na
hawajali au hawajielewi?

Inavyoelekea walimu wakiume wamegomea rokoo na hawakutishika na ule mkwara wa "usipokuja uwanjani tutakufukuza kazi"....
 
Tatizo sio Mh Rais, Tatizo ni Kinana tu mtu uwezi huwa tembo kiasi hicho afu usipate lahana
 
Mgeni rasmi kwenye sherehe za mei mosi mjini Mbeya rais Kikwete akiwa anaingia uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine watu walikuwa wamekaa tu kama vile waliopoteza kabisa matumaini na kiongozi huyu wa serikali. Rais alionyesha uso wa furaha na kuwapungia mkono lakini wengi waliendelea kuketi bila kumpungia mkono mh. rais. Nadhani haya ni mambo rais anabidi asome alama za nyakati vizuri - naleta kwenu wanajf tujadili
heri kuwa mkweli kuliko kuwa mnafiki kwa nini mtu usimwonyeshe hasira zako kwa njia ya ustaarabu kama hiyo,kama anajifahamu ajuwe uongozi wake haujali maslahi ya wafanyakazi
 
Kwani rais si binadamu kama binadamu wengine,ama wewe unaona kama ametoka sayari ya jupiter
 
Naona kama wafanyakazi wamemzomea JK baada ya kuongea habari za mfalme kumiliki mashamba tz.
 
Porojo nyiiingi kwenye hii thread yaani sijaielewa kabisa. Hebu tuwekeeni HOTUBA ya mh.Rais Dr.J.Kikwete nasi tuisome. Tuko mbali huku wengine hata TV hazishiki.
 
Yeye ni mfanyabiashara maarufu sana hapa nchini na nje ya nchi kwa sababu hiyo ameajiri watu wengisana ambao leo wanaadhimisha siku yao ya wafanyakazi. Hasa biashara yake yake ya kuuza meno ya tembo a.k.a pembe za ndovu a.k.a nyara za serikali....Thubutu....sio mfanya biashara wa kimataifa ni Jangili wa Kimataifa na leo anawakilisha majangili wenzie kwenye sherehe za wafanyakazi.......WEKA MBALI NA TEMBO

Mungu wangu!!! Sijui mbeya aliemda na usafiri gani. Kama ni kwa gari, akirudi tuhesabu tembo watano mikumi wako hatiani.
 
Baadhi ya masuala aliyoyagusia Mhe.Rais katika hotuba yake ni kushuka kwa tozo la kodi kwa wafanyakazi, usalama na amani nchini,uvumilivu wa kidini na maendeleo ya jiji la Mbeya.
 
Back
Top Bottom