Haina haja ya maadhimisho ya Mei mosi kitaifa ni upotevu wa raslimali, bora hela hizo zingejenga miundombinu ya madarasa

bahatibahati

Member
Jul 4, 2023
21
38
Hivyo ndivyo tunavyoweza kusema, kwani hakuna tarajio hata Moja la kuwamotisha wafanyakazi.
Tangu enzi za mwenda same hakuna chochote naweza kusema kilichofanywa Cha kuboresha maslahi ya wafanyakazi.

Angalia hotuba ya Leo HAINA MATARAJIO yeyote ya mtumishi!
Kuna haja gani ya kufanya MAADHIMISHO MEI MOSI KITAIFA?
Imekuwa siasa tu.

Hata zile AHADI za MCHENGERWA za MADARAJA ya mserereko hakuna.
MCHENGERWA na Simbachawene tunawaamini mnaweza mshauri Rais awape motisha wafanyakazi.

Wamekuwa wa kuchekwa tu na wanasiasa.
 
Hi Baada ya Arusha kumuitikia MAKONDA Kwa kishindo kikuuu.


Alowadanganya, mmdanganye Samia asije Arusha, ndo mmlaumu.
 
Sio meimosi tuu. Public gathering zote futa. Kama serikali ina ujumbe wa kutufikishia wananchi, waite wanahabari ikulu then wahutubie taifa. Changamoto za watz haziihitsji Tena public gatherings ili kutatuliwa.
 
Hivyo ndivyo tunavyoweza kusema, kwani hakuna tarajio hata Moja la kuwamotisha wafanyakazi.
Tangu enzi za mwenda same hakuna chochote naweza kusema kilichofanywa Cha kuboresha maslahi ya wafanyakazi.

Angalia hotuba ya Leo HAINA MATARAJIO yeyote ya mtumishi!
Kuna haja gani ya kufanya MAADHIMISHO MEI MOSI KITAIFA?
Imekuwa siasa tu.

Hata zile AHADI za MCHENGERWA za MADARAJA ya mserereko hakuna.
MCHENGERWA na Simbachawene tunawaamini mnaweza mshauri Rais awape motisha wafanyakazi.

Wamekuwa wa kuchekwa tu na wanasiasa.
Si ni ushamba tu wa kiafrika.
 
Haina faida akajisemea mtu mmoja tungepewa Michele kiroba kiroba Kila mmoja siku iishe....hakuna jipya.
 
Back
Top Bottom