Yaliyojiri katika Maadhimisho ya Mei Mosi - Mbeya

Yaliyojiri katika Maadhimisho ya Mei Mosi - Mbeya

tembona kinana.jpg
Hawa tembo akiwa ona Kinana katibu mkuu wa CCM hawana bahati....watanzania walindeni hawa tembo
 
Mbeya nimewakubali yaani hata mchukuwa picha wa tbccm anaogopa kuonyesha hali ya uwanja ameshikilia kwa wanamuziki tu.
 
Mbeya nimewakubali yaani hata mchukuwa picha wa tbccm anaogopa kuonyesha hali ya uwanja ameshikilia kwa wanamuziki tu.
Ukiona hivyo ujue malori hayajafika uwanjani kuleta watu wakupendezesha uwanja...
 
wanabodi heshima mbele ....

Naomba niwaletee update za maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Mei Mosi ambayo kitaifa yanafanyika katika uwanja wa Sokoine jiji Mbeya.

Watu wameshaanza kuingia na viongozi mbali mbali wameshaingia nimemuona Hawa Ghasia,Mama Kabaka,Kinana,Kawambwa,Makongoro na mabalozi mbali mbali.

Updates...
Kwa ufupi uwanja uko mtupu wazo la kupeleka mbeya linaweza kuleta tafsiri mbaya ya jamaa kukubalika kazi kweli kweli wanafuta muda ili watu wajae jae isijekuwa aibu kwa Mgeni rasmi.
hivi watoto wa shule nao ni wafanyakazi?
Kwa hiyo umejaa watoto wa shule, ccm hawajifunzi ni kwamba watu wamewachoka... watafute malori yakabibe watu vijijini wawahakikishie ubwabwa na buku tano tano...
 
Mbeya walisha mpopoa mawe mkuu wa kaya hivyo wanajihami...

sasa si asije kabisa kama anaona maisha yake yako hatarini.. Mi nlitaka enda muona diamond ila haya mambo ya ukaguzi nimegairi
 
Wahudhuriaji hawa raha nyuso zao zimedhofu inaonyesha kama wamelazimishwa kuja uwanjani
 
Naona waliovaa majani na manjano kwa mbali sijui walidhani kuna pilau la chama chao kama kawaida, labda ningoje kidogo nione majani na manjano mengine pindi atakapokuwa anaingia mgeni rasmi maana magamba hawajui ni wapi shughuli za chama na wapi ni jamhuri!
 
Kwa hiyo umejaa watoto wa shule, ccm hawajifunzi ni kwamba watu wamewachoka... watafute malori yakabibe watu vijijini wawahakikishie ubwabwa na buku tano tano...

Mkuu uwanja umejazwa na wanafunzi,watani wa jadi(Magamba),sikinde, waliolipwa per diem kuhudhuri na Mapolisi
 
Wahudhuriaji hawa raha nyuso zao zimedhofu inaonyesha kama wamelazimishwa kuja uwanjani

Watu wa mbeya ni noma, usishangae mkutano ukaharibika kwa kitendo cha serikali kumwalika kinana, jamaa tayari ana kaharufu so enytime anaweza chafua hali ya hewa
 
Mkuu amewakalisha Watu kweli tangu saa mbili yeye anaingiaa saa Sita

Nawaona mawaziri wanapiga mihayo tu...namuona mama ghasia na miwanii za kimachinga
 
Rais anaingiaa anapungia Watu wanamchuniaa.....mbeya wamepinda..hadi mc anawaomba wamjibu Rais anawapungia
 
Nilikuwa najiuliza ni kwa nn viwanja viko wazi sana na watu wamenuna. Nikagundua huu mkutano sio wa CCM na hivyo Diamond na Chege hawapo.
Duh! Naona JK anapunga mkono watu wanamuangalia tu.
 
Jamaa kaingia kwa mbwe mbwe na gari ya wazi huku akiwapungia wananchi mikono na mc anawasisitiza watu wamshangilie. watu kimyaaaaaaaaaaaa. chezea mbeya wewe. hawanaga njaa
 
Back
Top Bottom