zulu lima
Senior Member
- Jun 1, 2016
- 106
- 89
Humjui ndesa bora ukae kimya. Alikuwa ni muumini mzuri akajitolea sadaka makanisani na miskitini miaka yote. Fanya yakoapumzike panapo stahili , hizo pesa mgemtolea sadaka kanisani ingekuwa poa sana, kumuaga kwa mbwebwe vile haimsaidii