Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022

Msichukulie mambo rahisi rahisi tu kisa tu eti mashahidi kumi na tatu kati ya ishirini na nne wametoa ushahidi.

Kwa jinsi watumiwa wenzake na Mbowe walivyokamatwa, jinsi Urio alivyotiririka kuwa Mbowe alianza kumpanga kwa muda mrefu ili atafute makomandoo wa kuja kuleta dhahama nchini ni wazi kuwa kuna kesi ya kujibu.

Tujipange kwa defence tu ili kupangua hoja. Tuache ushabiki wa mitandaoni usio na tija.
 
Msichukulie mambo rahisi rahisi tu kisa tu eti mashahidi kumi na tatu kati ya ishirini na nne wametoa ushahidi...a.
images (1).jpg
 
Msichukulie mambo rahisi rahisi tu kisa tu eti mashahidi kumi na tatu kati ya ishirini na nne wametoa ushahidi.

Kwa jinsi watumiwa wenzake na Mbowe walivyokamatwa, jinsi Urio alivyotiririka kuwa Mbowe alianza kumpanga kwa muda mrefu ili atafute makomandoo wa kuja kuleta dhahama nchini ni wazi kuwa kuna kesi ya kujibu.

Tujipange kwa defence tu ili kupangua hoja. Tuache ushabiki wa mitandaoni usio na tija.
Unaumia sana na BADO
 
15 Fevrier 2022
Paris, France

Kuumwa mfululizo kwa Mashahidi wa Jamhuri kesi ya Mbowe, ni Habari kubwa Nchi za wadau wa maendeleo za Umoja wa Ulaya / EU
1644979686647.png


Habari za mashahidi upande wa Jamhuri kuumwa mmoja baada ya mwingine ktk kesi namba 16 / 2021 inayomkabili Freeman Mbowe na wenzie watatu, zafika katika malango ya mji wa Paris kwa anayeshikilia urais wa mzunguko wa Umoja wa Ulaya Mh. Emmanuel Macron :

France’s Macron Hosts Tanzanian Counterpart in Paris Ahead of EU-AU Summit
President Emmanuel Macron met with his Tanzanian counterpart Samia Suluhu Hassan on Monday to discuss trade and business deals ahead of the European Union-African Union summit in Brussels at the end of the week.

The meeting is part of Suluhu’s extended visit to Europe, which included the One Ocean summit in Brest last week. … Although Suluhu is from the same party as late president John Magufuli, some had hoped for a major sea change in domestic and international policy after his death in March 2021.

Changes have been slow, but a number of announcements this month has shown that her view from Tanzania is more moderate than Magufuli, who was often described as ‘despotic.’ … While Suluhu reached out to opposition figures after becoming president following Magufuli’s death, her more moderate stance has not proven to be consistent across the board.

Opposition party leader Freeman Mbowe is currently on trial for terrorism charges. The Chadema party leader was arrested last July, but his case has dragged through court, the most recent delay just last week after police witnesses repeatedly called in sick, stalling the judicial process. R
 
Hii kesi umesaidia kufahamu mengi maovu yanayotendeka chini ya kapeti
Kesi ya mchongo huku wanataka tukawaulize washtakiwa kwa kuwa ni wacha Mungu watuambie ukweli?Mambo kama haya yanaweza kufanyika Tanzania pekee,na hapo bado wazalendo wapo ofisini hawawezi kujiuzulu.
Mbowe siyo gaidi.
 
Katika hali ya kujiamini kuwa wanayo mamlaka ya maamuzi kwenye kesi inayomkabiri Mbowe na wenzake watatu, mawakili wa serikali wamekatisha ushahidi wao uliokuwa umepangwa wa mashahidi 24 na kuwa mashahidi 13.

Siku ya jana tarehe 15 mawakili wa upande wa serikali walikatisha ushahidi wao ghafla na kuamua kuwa upande wa utetezi wana kesi ya kujibu hivyo kesi ipelekwe hatua ya washitakiwa kujibu tuhuma zinazowakabili huu ukiwa ni mlolongo wa upande wa mashitaka kujipa upande wa juu baada ya ule wa kuchelewa au kuahirisha ushahidi bila sababu za msingi.
 
Toka maktaba :

https://www.theeastafrican.co.ke › tea
Case against Tanzania's Freeman Mbowe stalls again as witness ...

Friday February 11 2022.
Dar es Salaam, Tanzania

In the High Court of Tanzania, Corruption and Economic Crime Division , Case No. 21 of 2021, Republic V Khalfan Hassan Bwire, Adam Hassan Kasekwa, Mohamed Abdilahi and Freeman Aikael Mbowe.

The hearing of an economic sabotage case against Chadema chairman Freeman Mbowe and three others failed to proceed for a second day on Thursday after a prosecution witness failed to appear in court.

The witness was said to be unwell ....
 
Magaidi ni hatari sana, Sasa Martin Maranja Masese atageuza jukumu lake, atajipa jukumu la kusifia mashahidi wa utetezi
 
Back
Top Bottom