raphael andrew
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 809
- 898
Hata iweje hii kesi haitaamuliwa na mahakama maamuzi yatatoka kwa mtu mmoja
Wala usihangaike nae. Ajiongeze kidogo tu ajifunze kwa Ndugai.Mkuu kwa hiyo na wewe uko upande wa watesi? Mie nadhani haki ijadiliwe na watu wote. Hata kama upo CCM na kichwani ubongo hakuna, basi jaribu kumhurumia binadamu mwenzako.
TOKA MAKTABA :
2 December 2021
Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisisasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe
Mwenyekiti wa kamati wa mambo ya nje kwenye Bunge la Ulaya, David James McAllister amesema anawasiliana na watu wengi nchini Tanzania ambapo amesema wapo kwenye hali ambayo viongozi, wanachama na wafuasi wa upinzani wanakumbana na udhalilishaji, kushikiliwa kinyume cha sheria na vitisho. Kwa upande wake mkurugenzi wa mambo ya Afrika kutoka umoja wa Ulaya, Laranjinha Rita amesema kuna sababu za matumaini Tanzania ambapo miezi ya karibuni kumekuwa na mwanzo mzuri kwa Rais Samia nyumbani na kimataifa ambapo ametambulisha baadhi ya mabadiliko. Laranjinha amemueleza Rais Samia kwenye uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari na mabadiliko hayo yamepokelewa vizuri na jamii ya kimataifa. Pia ameongelea ruhusa ya kurudi shuleni kwa wanafunzi waliopata ujauzito. Laranjinha amesema pamoja na hatua zilizofikiwa kuna mapungufu machache ikiwemo demokrasia ya vyama vingi ambapo hakuna uwakilishi wa upinzani kwenye bunge, mwenyekiti wa chama cha upinzani kushikiliwa na umoja wa ulaya itaendelea kufatilia kwa karibu.
Source: JamiiForums
4 August 2021
Victoria Nuland : Tanzanian Opposition Leader’s Arrest Is “Test” For New President
U.S. Undersecretary of State for Political Affairs Victoria Nuland was in Tanzania Wednesday where she spoke about the arrest of opposition leader Freeman Mbowe and at least 10 other Chadema party members and staff who face terrorism charges.
Source : VOA
4 August 2021
Ambassador Victoria Nuland | UNDER SECRETARY FOR POLITICAL AFFAIRS
Tanzania, Waziri wa Mambo Ya Nje Dr. Liberata Mulamula | amefanya mazungumzo na Bi. Victoria Nuland naibu waziri mambo ya nje anayeshugulikia masuala ya Afrika ambaye pia amefanya kazi Brussels EU pia mshauri wa Bill Clinton, kutatua migogoro ya Ukraine na Russia alifika Tanzania pia kukutana na viongozi wa vyama vya upinzania Tanzania . Rais Joe Biden sasa amempa imani yake na kumtuma kutatua migogoro na migongano ...
ni kesi iliyowafumbua macho watanzania na Dunia nzima kwa ujumlaHii kesi inaidhalilisha serikali ya Tanzania
Mungu kaamua kusimama na hakiWakili wa Swila kachanganyikiwa hana umakini. Mwanzo anapinga baadae anakuja kukubaliana na hicho hicho alichopinga.
Hii kesi umesaidia kufahamu mengi maovu yanayotendeka chini ya kapetiMwanzoni aliyebuni script hakuwa amekamilisha sehemu ya mwisho,akafa mbunifu na waliopewa zabuni kwa kudhani wameielewa script wakakurupuka na kuanzisha start button bila kufanya masahihisho kuziba nyufa na matobo.
Wasivyochukulia mzaha uzembe,ukatili,uonevu na uvunjifu wa HAKI za binadamu mawakili wasomi wanawapiga kata funua za kutosha mashahidi wa michongo na mawakili wao mahakamani!Utapenda kuwa upande wa HAKI.
Tunapodai Katiba mpya ni kwa sababu tunataka USAWA,HAKI,UWAJIBIKAJI na kudumisha/kujali UTU wa kila moja wetu bila UBAGUZI wowote.
HAKI huinua TAIFA.
Mashahidi wameumbuka sana ni Aibu kubwa kuwapiga watu kuwatesa waseme wakili ugaidi hewa feki huku Lt Urio akigeuka kuwa shahidi wakati awali alikamatwa akapigwa sana akateswa vibaya lakini kwa njaa zake amejitoa fahamu zote kawageuka wenzake kawa shahidi wa kingai mahita walewale waliompiga kumtesa kule TazaraKwa hii kesi kwa kujikanganya kule hata wangekuwa na mashahidi Milioni wasingetoboa if haki ikimaraki!!!
Wengi wamepata Elimu kubwa ya Sheria kupitia hii kesi ya mbowe ndiyo maana marehemu magufuli aliipuza kwa kujua hiloAisee siyo siri home ss hv hadi wananiita Kibatala mtu akizingua tu naanza kumpa yale maswali kama ya Kiba....utasikia sitaki maswali yako ya kina Kibatala.... kwa kifupi nina basic Cert ya Law kwa kupitia hii Case!!!
Wameona huenda ikaja kuwa Aibu kubwa zaidi endapo ataulizwa maswali kama aliyoulizwa Lt Urio na SwilaUpande wa Mashitaka umefunga ushahidi bila kumlete mlalamikaji DCI Boaz pakoje hapo?
Yupo na mahita ambaye aliwanyanyasa kuwatesa kuwapiga walinzi wa mbowe kuwalazimisha wakili ugaidi hewa feki huku akishirik kumgeuza Lt Urio kuwa shahidi toka kuwa mtuhumiwa , kingai na kikundi chake washitakiwe The Hague pindi kesi ikimalizikaKingai alikuwa na msemo wake wa kukutwa na kete za madawa kulevya kwa washitakiwa huu. Msemo haupo tena. Hawa akina Kingai wameshiriki kufanya ujinga sana wa kubambikia watu kesi. Jeshi linaweza kuwa na watu kama akina Kingai, Swila, Goodluck na Jumanne. Hii kesi ilimalizwa na Ndowo na Goodluck leo Swila kaja kumzodoa SSH.
ingekuwa Aibu kubwa endapo DCI angekutana na maswali kama aliyokutana nayo swila na Lt UrioWakati wiki iliyopita Swila alikua akijiharishia mawakili wa serikali walisema Kama Swila ataendelea kujinyeanyea wataleta shahidi mwingine jumatatu.
Kiko wapi.
Kuna mashahidi walioandaliwa ambao hawana akili lkn Wana vyeo na familia wameona kuliko kuwa proved kwamba hawana akili Bora nusu Shari.
Pia makao ya bunge la ulaya ni BRUSSELS. Unganisha dot dot Kama Swila.
Wameogopa ingekuwa Aibu kubwaMkuu, unajua tena! Kesi ndani ya kesi zilikuwa nyingi, mpaka tunawasahau mashahidi waliopita!
Ila BOAZ, alihitahika sana!
Aibu kubwa sana siku ingine ha watathubutu kutengeneza kesi bandia kama hiyoSSH lazima kapewa makavu live na beberu wa EU. Mnafungaje shitaka wakati BOAZ na SIRRO hawajapanda? Ukweli hii kesi imefunua uozo wa jeshi la polisi.
Kule chooni kulikuwa na mwalimu wa kumfundisha lakini kwa kuwa mungu amekataa uonevu ndipo Swila akafeli zaidi
Kingai na mahita waliwatesa kuwapiga wakili ugaidi hewa yupo wapi Moses Lijenje?Yaani ukubwa wote huu,unaamini ugaidi unafanyika ki ndezi namna hii??
Uyo hakudanganywa bali ni yeye tu kichwa kigumuShahidi aliulizwa kama kuna watu waliofungwa kutokana na shauri hili shahidi akasema hakuna.
Sasa yule aliyemdanganya rais ajiandae. Anastahili adhabu kali kwa kumfanya rais auambie ulimwengu hayo. Asipoadhibiwa ni shida nyingine. Au huyo mtu aanze kutubu kama Ndugai, nimekosa mimi. Nimekosa mii...
sosi wanachama wa chadema, walioko nchini tanzania na diaspora ndio tunagaramia hao mawakili wote, sio tu kibatala, swali lingine plsSamahan lkn nauliza tu, hivi Kibatala anavosimamia hii kesi malipo yake analipwa na Mbowe, au anasimamia km mwanasheria wa chamaa au kesi haihusu chama ina muhusu mbowe km Mbowe.