Ni kina nani hao?kwa nini majina hayajatajwa?Account ambazo hazijatajwa majina soon zita leak ni za wakuu wa nchi
Ndio yule wa jana usiku kumbe??
Tunasubiri kwa hamu....Account ambazo hazijatajwa majina soon zita leak ni za wakuu wa nchi
Mkuu, wanatumikia mabwana zao. Kwani hata ubunge walipata kwa njia ya kuvua vyupi zao...Kwa kweli wabunge wanawake wa CCM nimewadharau, na wala wasijisumbue kuja majimboni kuomba kura, wajikombe huko huko magogoni kwa viti maalumu.
Huyu mwigulu anaweza kuwa fahari ya taifa
Muhongo anashupaliwa aondoke, hivi kwanini hataki kuondoka?
Namshukuru Mungu mimi si mwanasiasa, Asante maana hapa leo sijui ingekuaje
Hivi kweli nyie wana Nkenge mbona mmevuliwa nguo?? heri yangu mwijage sijui yuko moto au baridi??
Duh huyu Mzee mbona sijamsoma hadi sasa? Kaanza kwa mkwara lakini aaghhh wapi? Ccm si wa kuamini, muda wake umekwisha na hamna cha maana alichokiongea
Ni sheedah...wanajidhalilisha wenyewe tuMkuu, wanatumikia mabwana zao. Kwani hata ubunge walipata kwa njia ya kuvua vyupi zao...