Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

huu mjadala umevumbua mengi sana kuhusu hawa wabunge wanawake. Kupeana vyeo kwa watu wasio na sifa ni kubaya sana.
Kwa kweli wabunge wanawake wa CCM nimewadharau, na wala wasijisumbue kuja majimboni kuomba kura, wajikombe huko huko magogoni kwa viti maalumu.
 
CCM ni genge la wahuni wanaotetea matumbo yao na kukandamiza maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla. dawa ya magamba hawa ni kuwatupilia mbali mwaka 2015.
 
CCM AXIS OF EVIL inatatea uhai mara ya mwisho.Sasa hivi inaogonjwa wa ndani na nje.Hali ya hewa si rafiki kwake tena.Wabunge wa CCM haoni tena MEANING OF LIFE NDANI YAKE....kwa laana ya CCM hadi sasa.HATA WATOTO WAO SASA HIVI WATAWAPIGA MAJUMBANI.UONGO WALIOKUWA WAKIWADANGANYAYIA KWA HARUFU YA HELA YA WIZI WA HII NCHI SASA HAUWAPI TENA WATOTO NA WANACHAMA WENZAO MEANING OF LIFE.Ndio maana leo wanajiuliza kwanini kutetea CCM ya wachache halafu wanaambiwa wakawakanadmize wananchi kuchangia zahanati.
 
Nimekusikiliza vizuri ukichangia leo, nimesikitika sana hivi kweli wanankenge tumekutuma hayo?? Umetuabisha umekuwa dodoki kusafisha uchafuu! Kweli nafikiri sasa ubunge wako nimwisho hatukutaki teena

asumpta futa kauli...!!! Nafuta nafuta mwenyeketi!!! Baada ya kuleta ubishi akaona maji yanazidi unga!
 
Ndio maana Lugora alikuwa anapoteza muda kwa maigizo yake ya kipuuzi. Namuona kama anataka kupanda farasi wawili kwa wakati mmoja.
Ova
 
Muhongo anashupaliwa aondoke, hivi kwanini hataki kuondoka?
 
Huyu nae kaanza na mkwara mkubwa kumbe hana lolote.....walewale watetezi wa wezi
 
Back
Top Bottom