Maishamapya
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,279
- 375
Asante sana. Ni huzuni kubwa. Nimejisikia km nilikuwa arusha kwenye maziko hayo.
Nilipo bold i think you have a point there, Mwenyezi Mungu akiona taifa linataka kutenganishwa na kitu fulani anaweza kufanya maajabu yeyote ya kuwafanya muwe pamoja au mkutane.
Tukio hili la kuwa na vifo toka pande mbili sisi binadamu tunaweza kuliona limetokea accidentally lakini kwa Mungu linaweza kuwa accidentally on purpose.
Leo nimegundua kuwa Polisi ndiyo huwa chanzo cha vurugu katika mikusanyiko ya Kisiasa namna hii hasa pale wanapotaka kuwatisha raia. Leo Ujumbe umewafikia watawala kuwa siku zao zinahesabika whene they bow to the pressure of the new cionstitution and new NEC, ndipo utakuwa mwisho wao. Lets keep pressurising them hadi wakubali matakwa ya umma.
QUOTE]
Martin Luther King Jr alishasema kuwa Polisi wanaujuzi wote na mbinu zote za kupambana na ghasia inapokuwa imetokea na kwamba kwenye fujo huwa wanafanikiwa sana. Hata hivyo wanapopambana na mazingira mbayo hayana fujo (non violent) huwa wanashindwa cha kufanya. Hicho ndicho kilichotokea Arusha trh 5 ... Hakukuwa na fujo. Wakagwaya. matokeo yake wakapiga risasi ovyo wakaua.
Kiboko ya polisi ... ni maandamano ya amani.
shukrani mkuupj, gurudumu, edward teller, na wengine wengi asante sana kwa kutujuza vitu vinavyoendelee arusha
Truly, Ocampo is welcomed to this 'island of peace'. How comes a soldier recruited by us through the tax we pay through our noses, trained by us, dressed by us, paid by us and armed by us - use the very firearm we gave him/her to protect us to kill and maim us with impunity?Karibu sana Mr Ocampo kwetu TZ!
Naam, mazishi ya Ismail omar yalifanuika saa 1.30 usiku,makaburi yalikuwa mbali na home tope na kukatiza ndani ya vijaluba vya mpunga vilivyojaa maji. Hivyo wazee Kama ndesa, Slaa, na Mtei hawakwenda makaburini
safari ya kurudi barabara kuu USA ilianza saa 2.42 usiku. Wengine waliendelea na msafara hadi moshi na wengine wakirudi arusha.
Nimechoka mno lakini sipati usingizi kwa sababu ya furaha ambayo hakuna maneno ya kuelezea. Sasa hivi ni saa 5.33 usiku. Kesho nitapost baadhi ya picha. G9t