Yaliyo nikuta kwenye daladala

Mkuu tatizo wewe ulikomaa kumcheki mzee akiingia mmu badala ya kumtupia maneno mazuri ya kimahaba kwa mtoto ndo maana kachukia kiasi hicho. Kwanini usimsemeshe wakati yupo karibu yako? Ina maana hujatambua uzuri wake ndo maana kalipuka kama moto
 

Mbona unalalamika kwa unyonge sana? We mwanaume bwana hayo mambo madogo
 
Pole sana mkuu ina maana mkono wako ulikuwa sawa na msumeno au misumari?

Kuna baadhi ya wanawake hawana adabu kabisa! Umetumia busara ya hali ya juu kumuacha na kunyamaza! Huo ndio uanaume!

Ingawa nilikuwa na hasira za kumpga hata kofi lakini niliamua nisijibu chochote hadi mwisho wa safari angu
 
Pole sana. Ila mbna unakaa mbali hvyo? Hamia makumbusho au kijitonyama. Huko utakutana na mikasa kila siku. Maana mm rafiki yangu aliamua kumkunja dada mmoja na kumpa vibao kabisa.

Alimkosea nini wana dharau sana wengi wao kumbe wote maisha magumu tuuu
 
Pole watu wapi kimwili tu akili zao zipo mbaaali sana! Pia hujaibiwa maana watu wajanja sana anakukoromea ukiwa washangaa kumbe pana mtu anakwibia hapo haha!

Nilipo ona daladala ni zakugombania walet na simu vyote niweka kwenye begi langu la mgongoni mfukoni sikuwa na kitu kma mpango wake ulikuwa huo alishindwa
 
Kumbe... Sasa sijui babu yupi huyo wa MMU aje tumpongeze
^^

Huwenda atakuja alikuwa alivamiaa jukwaa yeye ni wa katiba na siasa sijui lakini kwa maneno alio kuwa anampa yule dada anaonekana ni mwongeaji sanaaa
 
Mkuu tatizo wewe ulikomaa kumcheki mzee akiingia mmu badala ya kumtupia maneno mazuri ya kimahaba kwa mtoto ndo maana kachukia kiasi hicho. Kwanini usimsemeshe wakati yupo karibu yako? Ina maana hujatambua uzuri wake ndo maana kalipuka kama moto

Siwezi kbsa kumsemesha mtu tukiwa kwa gari tumejaa vileee sijui lakini yy alikuwa na mawazo ganii
 
ndio maana mimi huwa natembea na upup.u kwa ajili ya vizabizabina kama hao...

ukinichokoza tu kwenye daladala kama huyo mdada lazima nikupulizie wa mgongoni...
 
Alimkosea nini wana dharau sana wengi wao kumbe wote maisha magumu tuuu

Dada alisema kuwa jamaa anambambia kwenye makalio. Si unajua haya mambo ya kubanana . sasa dada akaanza kumletea noma gari zima anaongea yeye tu. Jamaa akamaindi akamkamata akamtia vibao.. Ikatokea tafrani pale tukaizima kiaina ila dada keshapokea vibao
 
 
ungemtia dole la jicho kabisa,hapana kuharibiana mood kwa hisia tu...pole sana mkuu
 
kijana mimi nilijitahidi kukutetea kwenye daladala halafu unakuja kunizalilisha huku MMU? kumbuka tulipofika Tip Top nilijaribu kukupunguzia hasira juu ya huyo binti, uzuri nimekushika sura nitakukamata tu na utajuta kukaa Dar es saalam.
 

Ulikua unaenda Suka??
Mbona lengo likawa kushukia manzese?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…