Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Binafsi nimewahi kukiri kuwa ni shabiki wa January nina sababu nyingi kwa nini ni shabiki wake.
Ila kuna makosa naendelea kuyaona kutoka kwake, kuna nguvu kubwa inatumika kutoka kwa wale watu wenye ushawishi mkubwa mitandaoni kumpigia debe mapema hii.
Sitaki kuamini kuwa wanapiga hili debe bure, yaani wanaonyesha consistency ya hali ya juu kwenye kupiga hilo debe, hivyo ni wazi wapo connected na mhusika.
Hili ni kosa kwa jamaa yangu huyu kwa kuwa liliwahi kutokea kwa Lowassa. Ukianza kupiga sana jalamba mapema kwenye urais utaukosa.
Pia kwa Sasa tunae mama Samia, na anatosha kabisa hivyo sioni kama ni muda muafaka wa kuanza kupambania urais.
Kuutaka urais sio kosa, Ila ukianza kuutaka mapema Sana Tena kwa kutumia nguvu mbalimbali hasa kutoka kwa wapambe ni kosa kubwa sana.
Dada wa kule USA ni kama alikuwa anajificha Ila sasa yupo wazi kabisa kuonyesha pengine unamtumia kukupigia kampeni na upo nyuma yake.
January nakuomba kwa sasa ungeachana na hizi drama za hawa watu, wanakuharibia. Nina amini unaweza kuupata uraisi Ila sio kwa style hii.
Binafsi ningependa kuona mama Samia anakaa kwenye uraisi Hadi 2030, hivyo tuache DRAMA.
Ila kuna makosa naendelea kuyaona kutoka kwake, kuna nguvu kubwa inatumika kutoka kwa wale watu wenye ushawishi mkubwa mitandaoni kumpigia debe mapema hii.
Sitaki kuamini kuwa wanapiga hili debe bure, yaani wanaonyesha consistency ya hali ya juu kwenye kupiga hilo debe, hivyo ni wazi wapo connected na mhusika.
Hili ni kosa kwa jamaa yangu huyu kwa kuwa liliwahi kutokea kwa Lowassa. Ukianza kupiga sana jalamba mapema kwenye urais utaukosa.
Pia kwa Sasa tunae mama Samia, na anatosha kabisa hivyo sioni kama ni muda muafaka wa kuanza kupambania urais.
Kuutaka urais sio kosa, Ila ukianza kuutaka mapema Sana Tena kwa kutumia nguvu mbalimbali hasa kutoka kwa wapambe ni kosa kubwa sana.
Dada wa kule USA ni kama alikuwa anajificha Ila sasa yupo wazi kabisa kuonyesha pengine unamtumia kukupigia kampeni na upo nyuma yake.
January nakuomba kwa sasa ungeachana na hizi drama za hawa watu, wanakuharibia. Nina amini unaweza kuupata uraisi Ila sio kwa style hii.
Binafsi ningependa kuona mama Samia anakaa kwenye uraisi Hadi 2030, hivyo tuache DRAMA.