Kongore Freeman Aikael Mbowe kwa hotuba yako ya Januari 13, 2024

HUSSEN KAMBI

Senior Member
Dec 4, 2023
175
212
Hongera kwa hutuba yako ulioitoa Jumamosi tr 13 mwezi January kuhusu unafiki wa watawala kila mwenye akili zilizo salama atakua amekuelewa maongezi yako yanaonyesha kweli ulikua na nia njema katika kutafuta maridhiano na watawala.

Baada yakuona watawala wamekiuka makubaliano baina yenu na wao umeamua ufunguke ila sisi tulijua watawala hawapo tayari kufanya hivyo mnavyotaka kwani mzoea vyakunyonga vyakuchinja haviwezi.

Iila hongera sana hata kama maandamano hayatafanyika lakini ujumbe umefika mpaka kitendo cha kutokea kiongozi mmoja kutangaza usafi siku hiyo hiliopangwa maandamano ujue ujumbe umefika.

Kidogo umenirudishia matumaini yaliyoanza kupotea kutoka kwenu mimi kama mtanzania ambaye akili zangu bado hazijapitiwa na moshi wa mwenge nimekuelewa vizuri kiongozi
 
Hongera kwa khutuba yako ulioitoa jmos tr 13 mwezi January kuhusu unafiki wa watawala kila mwenye akili zilizo salama atakua amekuelewa
Naunga mkono hoja, wengi tumemuelewa Nimemwelewa Sana Mbowe, Usipoteze Imani na Rais Samia!. Alivyo Kwa Kauli na Matendo Hawezi Kabisa Kuwa ni Yeye!
ujue ujumbe umefika kidogo umenirudishia matumaini yaliyoanza kupotea kutoka kwenu
hongera
mimi kama mtanzania ambaye akili zangu bado hazijapitiwa na moshi wa mwenge nimekuelewa vizuri kiongozi
Kumbe ni moshi wa mwenge!. Hili niliwahi kuuliza Mwenge: Ni Mwanga Tu Au Kuna Uvumba Fulani Unafukizwa Ili Kupumbaza Watanzania? Is it Justified?.
P
 
Hongera kwa khutuba yako ulioitoa jmos tr 13 mwezi January kuhusu unafiki wa watawala kila mwenye akili zilizo salama atakua amekuelewa maongezi yako yanaonyesha kweli ulikua na nia njema katika kutafuta maridhiano na watawala baada yakuona watawala wamekiuka makubaliano baina yenu na wao umeamua ufunguke hila mh: sisi tulijua watawala hawapo tayari kufanya hivyo mnavyotaka kwani mzoea vyakunyonga vyakuchinja haviwezi hila hongera sana hata kama maandamano hayatafanyika lakini ujumbe umefika mpaka kitendo cha kutokea kiongozi mmoja kutangaza usafi siku hiyo hiliopangwa maandamano ujue ujumbe umefika kidogo umenirudishia matumaini yaliyoanza kupotea kutoka kwenu mimi kama mtanzania ambaye akili zangu bado hazijapitiwa na moshi wa mwenge nimekuelewa vizuri kiongozi
sasa uskose kwenye kulegezwa na kuzolewa kama taka January 24, uje na Katiba kabisaa mapema sana 🐒
 
Hongera kwa khutuba yako ulioitoa jmos tr 13 mwezi January kuhusu unafiki wa watawala kila mwenye akili zilizo salama atakua amekuelewa maongezi yako yanaonyesha kweli ulikua na nia njema katika kutafuta maridhiano na watawala baada yakuona watawala wamekiuka makubaliano baina yenu na wao umeamua ufunguke hila mh: sisi tulijua watawala hawapo tayari kufanya hivyo mnavyotaka kwani mzoea vyakunyonga vyakuchinja haviwezi hila hongera sana hata kama maandamano hayatafanyika lakini ujumbe umefika mpaka kitendo cha kutokea kiongozi mmoja kutangaza usafi siku hiyo hiliopangwa maandamano ujue ujumbe umefika kidogo umenirudishia matumaini yaliyoanza kupotea kutoka kwenu mimi kama mtanzania ambaye akili zangu bado hazijapitiwa na moshi wa mwenge nimekuelewa vizuri kiongozi
Njoo barabarani mkuu, kuna kontena mpya za rungu zina miaka hazijatumika, tunataka tutesti kama ziko imara, tutachapa hicho kipara au kiuno ukalale.kwa Janabi miaka mitano
 
Naunga mkono chaguzi ziwe huru. Ndo njia pekee ya kupata viongozi bora. Mnalalamika ajira hakun alafu wakija viongozi bomu mnashangilia
 
Back
Top Bottom