Yale mafunzo ya VETA yaliyotangazwa na serikali yatakuwa ya muda gani?

 
 
Niliongea na jamaa 1 akasema wapo bado na mchakato maombi yalikua mengi Sana ila watatoa majina yatatangazwa na ofisi ya wazir mkuu na kwenye magazeti pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…