Natafuta matibabu
JF-Expert Member
- Aug 1, 2020
- 262
- 301
- Thread starter
- #181
Nimejaza fomu ya usajili leo, wameniambia nisubiri tena Wizara itatoa taarifa ya kuanza mafunzo.Ndio, wiki hii ni ya usajiri kuanzia leo j,tatu, na mafunzo yanachukuwa miezi 6 tu, kama hauja pata sms na unauhakika umechaguliwa nenda katika chuo ulicho chaguliwa maana usajiri unaendelea, jambo la msingi ni kukumbuka namba yako ya iliyoandikwa pale kwenye karatasi uliyochaguliwa
Nyie huko mlipofanya usajili mumepewa taarifa gani?