donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
love ths thread
love ths thread
Mapenzi yanaendaga likizo nayo!Ni kiasi cha kuyafuata na kuyarudisha kama umeyamiss!
yaani thread yako imeniliza..........!!! its true some times true love inapotea bila sababu yeyote but nimegundua kitu mara nyingi it is coz of ndugu/ wapambe!!!
but i still believe no one can separate two true lovers!!! mtafanya yooote ya kutusambaratisha lakini our love will prosper..........time will tell.........
Una akili sana wewe! yaani ndio hivihivi inatia kero sana na hasira, cha muhimu wanandoa ni kukaa chini na kujadili wapi walikosea na kuweka mambo sawaTatizo ya mapenzi kupungu linakuwa kubwa zaidi pale mmoja wa wanandoa anapoanza blaming. Mostly men are blaming their wives and try to find love somewhere else instead of working out the source of the problme. But these days women also are fighting back by having secret affairs. Mi nadhani suluu ni kukubali kwamba kwenye marriage kuna ups and downs, uku-ku-demand kupata masham sham kama wakati wa uchumba lazima utatafuta replacement. Hata wadhungu tunaowaona kutwa wamekumbatiana tusifikiri ndo mambo yao ya marital ni tambarare, kukumbatiana kwao ni culture, unaweza kuta wanakumbatiana mitaani lakini sex once a month.
sorry and thanks for that, fellow. It's some kind of experience that touches nearly every one