Yako wapi Maamuzi ya Kikao cha CHADEMA?

Yako wapi Maamuzi ya Kikao cha CHADEMA?

huyo zitto wamfukuze aende kwenye chama chao cha waislam hiki ni chama chetu wakristo.
 
Inamaana akina zitto hawaioni hii watujuze ata kidogo!

Ila inawezekana ata kikao kuvunjika kwani chadema sio malaika inawezekana kupishana ila uzuri wanabusara kwenye maamuzi.

Namjua Zitto anakiburi lakini hana msimamo. Hajawai ata kuoa anataka uraisi hujaongoza ata familia anataka nchi.

Nilikuwa sijasain in, nimeona nisain nikujibu. Umenichekesha unavymsema Zitto eti hajawahi kuoa, kwa msingi huo hawezi kuongoza nchi. Duuu hata wewe, hivi kuongoza kunahitaji experience inayofananishwa Na familia tena ya mke Na MUME Na watoto. Hivi Zitto haongozi jimbo? Si Kiongozi wa CHADEMA? Anyway anaweza akawa haongozi mke Na watoto lakini anaiongoza familia aliyozaliwa pale tabata. Unaweza ukawa umeoa lakini ushindwe kuiongoza hiyo familia. Umenichekesha sana kweli sometimes I do not know huwa tunafikiri vipi. Hivi kwanini Zitto asiwe raisi? Slaa tukiangalia upande wa familia I can say ilimshinda ndomaana walitengana Na mkewe, ila huyo mwaona ni raisi bora. Anyway ni kawaida kwa wabongo kuwa Na double standards.
 
huyo zitto wamfukuze aende kwenye chama chao cha waislam hiki ni chama chetu wakristo.

Yamekuwa hayo tena? Nadhani pia wataijadili ile kauli yake ya kwamba Mzee Mtei amefilisika sijui kisiasa. Ile kauli aliyoitoa baada ya Mzee Mtei kutoa kauli iliyoonekana ya udini juu ya Tume ya Katiba.
 
Nilikuwa sijasain in, nimeona nisain nikujibu. Umenichekesha unavymsema Zitto eti hajawahi kuoa, kwa msingi huo hawezi kuongoza nchi. Duuu hata wewe, hivi kuongoza kunahitaji experience inayofananishwa Na familia tena ya mke Na MUME Na watoto. Hivi Zitto haongozi jimbo? Si Kiongozi wa CHADEMA? Anyway anaweza akawa haongozi mke Na watoto lakini anaiongoza familia aliyozaliwa pale tabata. Unaweza ukawa umeoa lakini ushindwe kuiongoza hiyo familia. Umenichekesha sana kweli sometimes I do not know huwa tunafikiri vipi. Hivi kwanini Zitto asiwe raisi? Slaa tukiangalia upande wa familia I can say ilimshinda ndomaana walitengana Na mkewe, ila huyo mwaona ni raisi bora. Anyway ni kawaida kwa wabongo kuwa Na double standards.

Umaarufu wa Zitto unawasumbua Marais wa CDM.
 
ritz kikao kilikuwa na mambo mengi ya kujadili. Kuna ile ahadi aliyotupa Dr. Slaa hapa kwamba kamati zitaketi na kutuambia ni nini waliongea na Rais baada ya mikutano yao miwili. Hii taarifa haijawahi kutoka na ni matumaini yangu kuwa sasa itatolewa. Pili tukiambiwa kuna Kamati inachambua wajumbe wa Tume ya katiba na CDM itatoa taarifa; nadhani hili nalo litatolewa taarifa kwa umma. Na sasa hili la uwajibikaji wa serikali ambalo naona Zitto amejinyakulia nukta nyingi na kuna watu walitamani liwe la kichama zaidi na liwakilishwe na KUB lakini naibu KUB si kwa hicho cheo bali kama mbunge akatumia Ubunge wake kulisimamia. Hili limempandisha Zitto kwenye chati givyo itabidi na wengine waje na single zao. Kumbuka Zitto alipokuja na hoja ya posho mwingine akaja na hoja ya kukataa gari la KUB. Timing tu hapa.

Zito ni mbunge wa CDM na chochote kizuri anachofanya kinaongeza ushindi kwa CDM. Kama CCM wanamtumia kama mchawi ndani ya CDM wanajidanganya na hawatafanikiwa. Kwani wenye hila hawatafanikiwa lazima nchi ikombolewe waovu lazima watapata adhabu ni suala la muda tu. CCM wanalifahamu hilo watavunja mabaraza ya mawaziri na kuvuana magamba iwapo hawata tafuta kiini cha tatizo lazima waondoke na haki itatawala nci hii. Tumeanza na Mungu, tunaendelea na Mungu na tutamaliza na Mungu.
 
CDM kuweni wawazi, Nape alitoa maazimio ya CC ya CCM mara baada ya kikao kwisha. Igeni mazuri ya CCM
 
Wakuu kweli kabisa CDM imefanya kikao lakini hakuna hata chembe ya habari toka huko ndani? Sijui habari za Botilo lakini hili la kutaka taarifa ya jinsi wabunge walivyoisimamia serikali ili hali kuna mchakato wa kutaka kupeleka hoja ya kutokuwa na imani na PM kidogo nilishtuka.

Ulishtuka nini??

Punguza kukurupuka!!
 
Botilo ni kama mama shangingi. Umbea usiovumilika. Kwa taarifa yako mimi ni mjumbe wa kikao kile, hayo yako sijui umeyapata wapi? Labla unauliza. Sina mamlaka ya kutoa maazimio ya kikao kwenye media, ila mengi ni siri sidhani kama wahusika watatoa yote.

We ndo poyoyo kweli mtu mzima hatishiwi nyau ungekuwa kwny kikao usingeongea haya usitishie kujamba wakati unaharisha wewe tutakupa debe ohooo!
 
Wakuu kweli kabisa CDM imefanya kikao lakini hakuna hata chembe ya habari toka huko ndani? Sijui habari za Botilo lakini hili la kutaka taarifa ya jinsi wabunge walivyoisimamia serikali ili hali kuna mchakato wa kutaka kupeleka hoja ya kutokuwa na imani na PM kidogo nilishtuka.

mbona magamba mnapenda kujua nini kilitokea? CDM siyo CCM. CCM kila kikao wanachofanya kuna mwakilishi wa CDM.
 
mbona magamba mnapenda kujua nini kilitokea? CDM siyo CCM. CCM kila kikao wanachofanya kuna mwakilishi wa CDM.

Umeongea vice versa binti ni ccm ina mwakilishi katika kila viongozi kumi wa CDM na wabunge wawili pia!
 
CDM kuweni wawazi, Nape alitoa maazimio ya CC ya CCM mara baada ya kikao kwisha. Igeni mazuri ya CCM

taarifa ya kikao cha CCM tulizipata humu hata kabla Nape hajatoa. Nyie mkishindwa kutuma intelijensia yenu mnataka kulazimisha CDM wakaseme wenyewe. Anyway, issue iko wazi, ni mjadala wa kujiandaa kuingia Ikulu in replacement of the Gambaz ambao wapo mochwari.
 
Kimbunga,
Pamoja na heshima zote nazokupa hapa JF lakini kadri siku zinavyokwenda ninaanza kuona rangi yako halisi.

Sidhani kama unapigana vita ya mageuzi, sasa unadhihirisha kwamba uko upande wa pili lakini unajitahidi sana kung'ata na kupuliza.
 
Huyu botilo nahisi naye aliekewa kichwa cha nazi....
 
Kimbunga,
Pamoja na heshima zote nzokupa lakini kadri siku zinavyokwenda ninaanza kuona rangi yako halisi.
Sidhani kama unapigana vita ya mageuzi, unadhihirisha uko upande wa pili lakini unajitahidi sana kung'ata na kupuliza.
Mwita hizo kauli zangu unadhani hazina ukweli ndani yake? Najua wewe unajua ila huwezi kusema hapa jamvini. nita pm
 
Mwita hizo kauli zangu unadhani hazina ukweli ndani yake? Najua wewe unajua ila huwezi kusema hapa jamvini. nita pm

Tatizo lako umeanza kuwa kama ndugu yangu yule wa feasibility study, unachanganya uongo na ukweli. Unachukua ukweli kidogo na kujazia uongo mwingi, na hii inatokea mara nyingi sana unapoizungumzia chadema.
Naanza kupata wasiwasi kwamba huenda una agenda yako binafsi ya siri kwakuwa siamini kama wewe unatumiwa na gamba!
 
Back
Top Bottom