Yako wapi Maamuzi ya Kikao cha CHADEMA?

Yako wapi Maamuzi ya Kikao cha CHADEMA?

ibange

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2010
Posts
1,543
Reaction score
553
Naomba mwenye maazimio ya kikao cha chadema anijulishe tafadhali
 
Kikao chao kimevunjika Slaa na Zito wamepishana kauli na kurushiana maneno makali
 
Weka source Mkuu tusifanye assumptions au na wewe ni gamba maana naskia posho ya magamba imeongezeka wanaofanya kazi humu janvin
 
Kikao chao kimevunjika Slaa na Zito wamepishana kauli na kurushiana maneno makali

Yaleyale ya CUF, Mambo ya Hamad na maalim seif hayo mnayaanzisha!. angalieni msivuruge imani ya waTZ kwa chama chenu.
 
Hoja ya zito kumtk wzr mkuu kujiuzulu haikuwa na baraka za chama zito alkw anahoji mamlaka ya Slaa kudai hayo more updates soon kuna kichwa kule ndani ndo kimenibonyezea hii kwanza
 
Hoja ya zito kumtk wzr mkuu kujiuzulu haikuwa na baraka za chama zito alkw anahoji mamlaka ya Slaa kudai hayo more updates soon kuna kichwa kule ndani ndo kimenibonyezea hii kwanza

Ogapa kusema uongo,
 
Hoja ya zito kumtk wzr mkuu kujiuzulu haikuwa na baraka za chama zito alkw anahoji mamlaka ya Slaa kudai hayo more updates soon kuna kichwa kule ndani ndo kimenibonyezea hii kwanza

halafu andika vizuri hapa siyo facebook...mtacheza ngoma ya chadema sana tu
 
Ogapa kusema uongo,

Kama mi mwongo subirini na make kitako kusikia mtokoto uliotokea sijui mtakimbilia wapi mpasuko upo mkubwa tuu!tuache ushabiki hali si nzuri baada ya kikao kuvunjika
 
Wakuu kweli kabisa CDM imefanya kikao lakini hakuna hata chembe ya habari toka huko ndani? Sijui habari za Botilo lakini hili la kutaka taarifa ya jinsi wabunge walivyoisimamia serikali ili hali kuna mchakato wa kutaka kupeleka hoja ya kutokuwa na imani na PM kidogo nilishtuka.
 
naenda lima shamba langu, mkiwa tayari ntaenda vuna,
yaleyale ya NCCR Tanga1 mrema kujificha chini ya meza
 
Back
Top Bottom