Huyu anatakiwa akae pembenCasual analysis of the trending situation, it is now crystal clear kuwa WAKILETA MAJINA 3 KWENYE MUKUTANO MKUU HATOBOI.
MUWE NA SIKU NJEMA
kwani akina mwashambwa, chiembe, choicevariable wanasemaje?Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
Majina yapo tayari, Ni muda tuu utaelewaHakuna mwanaume wakuyaleta! Jina moja tuu! Na bado
Anaweza akatoboa!! Tatizo pale juu hakuna wenye hekima! Kuna wahuni!Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
Wakileta jina la Kichaka na jina lake, kwa jinsi hali ya kisiasa ilivyo sasa nchini, jina la Kichaka ndilo litakalopita kirahisi.Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
tulia ma mdogo haya mambo yatakutoa damuHakuna mwanaume wakuyaleta! Jina moja tuu! Na bado
tulia ma mdogo haya mambo yatakutoa damu
We ni kichaa wa siku zote, hayo majina yapeleke wewe. We nyumbu mmeshakimbia uchaguzi tulizeni makalio nyie mapoyoyo mambo ya CCM waachieni wenyewe, CCM ina wenyewe, Polepole ni garasa tu lililookotwa na MaguTukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
thubutu! labda mpo naye huko makunduchi mnakula nae urojoDamu mwatoka nyie. Mama tupo naye mpaka 30 hakuna kenge wakuzuia
Hawana hata HELA ya bando wanasubiri kuombaomba kwa wakubwa nakujichekesha hata walishikwa mpododo nikucheka TU.......kwani akina mwashambwa, chiembe, choicevariable wanasemaje?