RakimsNi ukweli kwamba watu wenye majini/mapepo huchukia sana dhambi na pia husali sana?
Karibu,Sawa mkuu nimekusoma vizuri tu..!
Yah sureFasting and meditation will help her for sure wherever I face challenges I will fast and meditate, and things changes easily
Ndio baadhi yao huwa hivyo lakini Mara nyingi majini hao huwa ni wanafiki kwa sababu hawamuweki mtakatifu moja kwa moja na kuanza kumvuruga tu kichwa baadae akishawaamini na kuishia kumpa ahadi nyingi nyingi mtu zisizo timia wapo ambao ni wa kweli lakini wengi wao ni walaghai tu, huwatokea watu ndotoni na kujifanya watakatifu na baadae huanza kuwafundisha vitu visivyo na faida,Ni ukweli kwamba watu wenye majini/mapepo huchukia sana dhambi na pia husali sana?
Like mimiMimi nlikuwa na bahati sana zamani lakini saivi sieleweki... watu walijua mi nitakuwa mtu muhimu sana hapa nchini, lakini matokeo yamekuwa kinyume kabisa....... ila mi najionea sawa tu...... maisha yanaweza kuwa kivyovyote vile........ simlaumu yeyote
mkuu sikuwa na maana kuwa kila mwenye kichaa ana kuwa kakumbwa na majini hapanafobia (phobia) kisayansi hutokana na mpangilio mbaya wa kikemikali katika ubongo ,ambao huwa ni taarifa zinazorithiwa ndani ya DNA ,paka wa nyumbani huwa wapole kutokana na hii,ila jaribu kachukue paka shume umlee kwa mapenzi akikua atakuzingua ,sasa unakuta kuna mambo yaliikuta koo yake huko nyuma yakabaki kwenye dna ,ndo maana wanasema madhara ya vita huisha miaka 200 toka ipigwe kwa wastani ni pamoja na hii,tiba sahihi zipo ni kumtrain mgonjwa kwa mbinu za kisaikolojia anapona kabisa hakuna jini lolote mkuu .ila kwa tanzania katika tiba adimu ni tiba za ukichaa ,kwa wastani kati ya watanzania watano .watatu ni vichaa ,ila tafsiri ya huku ni mpaka aokote makopo ,mfano trump na magu wanaugonjwa huu hapa ambao ni kichaa na unatibika
Does Trump Suffer from Narcissistic Personality Disorder?
Narcissism is a personality dimension as well as a clinical diagnosis.www.psychologytoday.com
Usijali mkuu mimi ni shabiki wako namba 1mkuu sikuwa na maana kuwa kila mwenye kichaa ana kuwa kakumbwa na majini hapana