Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,219
- 2,825
Yaani tangu tuanze hakuna kupumua wala kupumzika kila siku ni mlipuko wa maradhi bandika bandua!
Ilianza CORONA mara ikaja VICHWA NA MAFUA mara ikaja MATUMBO NA KUHARISHA mara ikaja MADONDA KWA WATOTO mara KUKOHOA mara tena MACHO MEKUNDU Mara nasikia kuna inakuja hiyo ya MATAKO KUUMA bila sababu mwee! Tutakaaje sasa!?🤣
Mbona kila siku tunapigwa na kitu kizito kichwani tena chenye ncha kali?
Tumuombe sana Mwenyezi Mungu kwakweli atujaalie mwisho mwema maana kufa ni lazima ila haya mateso siyo lazima!
Ilianza CORONA mara ikaja VICHWA NA MAFUA mara ikaja MATUMBO NA KUHARISHA mara ikaja MADONDA KWA WATOTO mara KUKOHOA mara tena MACHO MEKUNDU Mara nasikia kuna inakuja hiyo ya MATAKO KUUMA bila sababu mwee! Tutakaaje sasa!?🤣
Mbona kila siku tunapigwa na kitu kizito kichwani tena chenye ncha kali?
Tumuombe sana Mwenyezi Mungu kwakweli atujaalie mwisho mwema maana kufa ni lazima ila haya mateso siyo lazima!