Kisesetusese
Senior Member
- Sep 12, 2022
- 173
- 242
Unapokuwa kazini au popote ukakutana na mtu wa aina hii. Mpole, mwema na
Hapend magonvi...kuwa makini naye au kaa mbali naye. Huwa hapendi kelele, anaji smile tu ili mradi....watu hawa ni hatari sana.
Anakuwa mpole kwa sababu hapendi fujo
Anakuwa mwema kwa sababu ..akifanya tukio linakuwa baya na la Majuto...hapendi ugomvi kw sababu akiingia kwenye uhomvi ni aidha polisi au vyombo vya dola vihusike
Hapend magonvi...kuwa makini naye au kaa mbali naye. Huwa hapendi kelele, anaji smile tu ili mradi....watu hawa ni hatari sana.
Anakuwa mpole kwa sababu hapendi fujo
Anakuwa mwema kwa sababu ..akifanya tukio linakuwa baya na la Majuto...hapendi ugomvi kw sababu akiingia kwenye uhomvi ni aidha polisi au vyombo vya dola vihusike