hata mimi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,356
- 1,437
Habari...
Kumradhi, ninaandika kwa kifupi sana
Kuna mambo mengi yanayomaliza pesa katika maisha haya ila manne kati yao ni kiboko. Mbaya zaidi ni kwamba mtu hawezi kuyakwepa
1.Ujenzi
Achilia mbali nyumba, Kitasa cha mlango tu elfu sabini! Fikiria kuhusu mlango wenyewe
2.Maradhi
Nadhani wenyewe mashahidi operesheni kwa jk institute ni milioni zake na hela, halafu wanakuwekea na neno tu!
3.Elimu
Waulizeni wanaosomesha; ada ya chuo cha urubani tu ni pension ya mzee halafu mnakuja kushangaa kwanini unesi au ualimu unakuwa na wahitimu wengi (umekuwa kimbilio la wengi) licha ya kuonekana kama sekta dhalili
4.Kesi
Dhamana tu milioni tano, kesi haijaanza kuunguruma hapo. Japo napo panategemea aina ya kesi na kesi/mahakama ila ilimradi tu imeitwa kesi basi ni kisa hasa
Tumwombe MwenyeziMungu huku tukiendelea kujipinda ili tuepukane na madhara ya mambo hayo (mfano kesi na maradhi) na tufaidi mazuri yake (mfano elimu na ujenzi)
Kumradhi, ninaandika kwa kifupi sana
Kuna mambo mengi yanayomaliza pesa katika maisha haya ila manne kati yao ni kiboko. Mbaya zaidi ni kwamba mtu hawezi kuyakwepa
1.Ujenzi
Achilia mbali nyumba, Kitasa cha mlango tu elfu sabini! Fikiria kuhusu mlango wenyewe
2.Maradhi
Nadhani wenyewe mashahidi operesheni kwa jk institute ni milioni zake na hela, halafu wanakuwekea na neno tu!
3.Elimu
Waulizeni wanaosomesha; ada ya chuo cha urubani tu ni pension ya mzee halafu mnakuja kushangaa kwanini unesi au ualimu unakuwa na wahitimu wengi (umekuwa kimbilio la wengi) licha ya kuonekana kama sekta dhalili
4.Kesi
Dhamana tu milioni tano, kesi haijaanza kuunguruma hapo. Japo napo panategemea aina ya kesi na kesi/mahakama ila ilimradi tu imeitwa kesi basi ni kisa hasa
Tumwombe MwenyeziMungu huku tukiendelea kujipinda ili tuepukane na madhara ya mambo hayo (mfano kesi na maradhi) na tufaidi mazuri yake (mfano elimu na ujenzi)