Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,526
Wanaume wa sikuhizi mnajipendezesha km wanawake...
Wanaume wa siku hizi mnatumia dawa za nywele..
Na si vipodozi tuu hata wapenzi wenye sumu mnatumia..tena sumu ya kuwaua taratibu sababu mnachepuka na kwenda kavu kavu...
Na si hayo tuu hata vyakula mnatumia vyenye sumu...Vinywaji vyenye sumu.....
poison poison poison full poison
watu hata hawaelewi somo ndo kwanza kutwa kununua carolight na maji ake, usoni kama mwarabu vidole kama muuza mkaa....
Hali inatisha....hata sie tunaokula vya mashambani tunaambiwa vinalimwa kisasa mno...makemikali kibao. Dunia hii hakuna kwa kukimbilia
Lazima hawa watakuwa wanawapelekesha waume zao maana kwa wanaume wengi walivyo mtu ukijipaka vipodozi kwa design hii aisee lazima jamaa either usiongozane nae au mtaishia kubishana kuhusu kutopendeza, vipodozi vingine huwa tunavumilia tutafanyaje maana angalau mtu anaonekana lakini hawa utasema wamepaka unga usoni ule wa wacheza ngoma sasa umegoma kutoka baada ya kuufuta
Jitahidi mboga mboga ulime mwenyewe mama.....
Ila kwenye michele humu sijui tufanyaje....
yani unaweza kukutana uso kwa uso na mwanamke ukahisi sio mtu ila ni kitimoto kwa jinsi ngozi ilivokuwaTena wanauliza kabisa "wapi nitapata mkorogo...sitaku lecture we nielekeze tu"
Wacha waji-kansi-she
Wanaume wa sikuhizi mnajipendezesha km wanawake...
Wanaume wa siku hizi mnatumia dawa za nywele..
Na si vipodozi tuu hata wapenzi wenye sumu mnatumia..tena sumu ya kuwaua taratibu sababu mnachepuka na kwenda kavu kavu...
Na si hayo tuu hata vyakula mnatumia vyenye sumu...Vinywaji vyenye sumu.....
poison poison poison full poison
EMT unatakiwa pia uniambie ni vipodozi gani mwanamke anaweza akatumia na ngozi yake ina shine,ningependa kuwepo kwenye hiyo semina maana nina maswali mengi ya kuuloliza.
1.kwanini wanapenda kutoa leseni za maduka ya vipodozi wakiwa ofisini na hawakuambii kipi hakiruhusiwa hadi wanakuja dukani kumfilisi mtu mara hiki hakina sumu ila hakijasajiliwa....
2.kwanini nchi zote za east africa wanatumia hizo vipodozi kasoro tz tu maana kama ugada wameweka kwenye mashelfu kabisa hawaoni kuwa hiyo vita ni ngumu?
3.kwanini wasianze kuwakamata watumiaji tena waanzie mle bungeni maana kama yule sofia simba kajikomboa wakati alikuwa blk tu na mwingine NAPE?
4.