Yahusu: Majini mahaba...

excel

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
22,434
Reaction score
17,862
Husika na kichwa cha habari hapo juu...

Habari za jioni mabibi na mabwana, natumai kuwa mu wazima wa afya kabisa!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naombeni kupewa knowledge hasa juu ya huyu kiumbe (sijui ni kiumbe ama ni roho? kiukweli sijui).

The so called jini mahaba, ni kiumbe wa aina gani? inakuwaje mpaka anamuingia binadamu na kuwa na mahusiano nae mpaka kuzaa nae na kujenga maisha?

kwanini jini mahaba akishamuingia mwanaume, basi mwanaume inakuwa ni vigumu sana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yeyote yule ama kutelekeza familia kabisa?

Hawa viumbe wanapendelea kuishi mazingira ya aina gani? wanapenda nini kiujumla na hawapendi nini katika maisha yao?

wakuu, naombeni tuelezane kila kitu kuhusiana na majini mahaba, kiukweli kuna kitu cha msingi sana nataka kufahamu kutoka kwenu, nimepitia maandiko mengi mtandaoni, lakini nimeona si mbaya kama tukijadili na hapa!



ENDELEA HAPA KUONA MAJINA YA MAJINI NA KAZI ZAKE
 
Na mimi nipate darasa hapa waje wataalamu watiririke
 
Haya mambo yanahitaji mtaalam wa mambo ya jadi mkuu...subiri waje.

mkuu nawangoja aisee..

kuna hili suala la kuingiliwa usiku na hawa viumbe, hapo ndipo naachwa hoi kabisa!

sielewi...
 
Last edited by a moderator:
Ngoja waje!
Tatizo wapo wanaojua ila hawako wazi,
R. I. P Sheikh Yahya!!!!
 
mkuu nawangoja aisee..

kuna hili suala la kuingiliwa usiku na hawa viumbe, hapo ndipo naachwa hoi kabisa!

sielewi...

Mm hayo mambo huwa naogopa sana...yani mm npigwe miti?!...mungu aepushie mbali.
 
hupenda kuuliza maswali kama haya uliyouliza...kwi kwi kwi!

Nachungulia majiubu kwa kona mkuu.

Are u ok?
 
Mkuu Excel hili swala umelileta muda muafaka kabisa.

Haya mambo yapo kabisa sio stori za kusimuliawa, ilisha mtokea mtu wangu wa karibu.

Mwanzoni nilikuwa najua ni hadithi tu lakini nilkuja kubadili mtazamo wangu baada ya kumtokea mtu ambae tunajuana vizuri sana!

Kuna siri kubwa sana nyuma ya haya mambo umenipa hamasa ya kutaka kujua zaidi kuhusu hili swala

Naanza utafiti rasmi kuanzia leo, tena naanzia hapa hapa baada ya hapo namalizia huku mtaani kwangu.

Nina imani nitapata majibu ya uhakika juu ya majini mahaba!
 
Last edited by a moderator:
mkuu nimehamasika sana kufahamu kuhusiana na hawa viumbe,

si unajua tena tumeingia maeneo ya PWANI huku ambako ndiko karibu makao ya hawa wadudu?

nina kesi nzito sana na roho yangu, nina imani itajibiwa na wana JF, nimejikuta nakiogopa kitanda...
 
hupenda kuuliza maswali kama haya uliyouliza...kwi kwi kwi!

Nachungulia majiubu kwa kona mkuu.

Are u ok?

nani huyo mkuu hupenda kuuliza?

niko ok ndugu, siku nyingi sana hatujaonana hewani.

nangoja wajuzi wanidadavulie kuhusu hawa viumbe.
 
ukweli nami nasikia sana haya naamini hapa tutaelimika....
 
Mm hayo mambo huwa naogopa sana...yani mm npigwe miti?!...mungu aepushie mbali.

Hahahaaa!! kwani we ndio unaamua mkuu? si kiumbe chenyewe kinakuja na kufungua zipu halafu kinaingiza na kutoa as many times as it wants? we kuja kustuka tu unakuta ushalowa vibaya sana!
 
Inawezekana hata humu MMU wapo

majini mahaba ama?

ile kesi ya kasnde aliisolv vipi? unajua wengi walichukulia kiutani, ila kwel haya mambo yapo kabisa!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…