Kuna siku nikiwa shuleni, nilihifadhi mkebe wangu mpya kabisa kwenye begi langu, na ndani ya mkebe niliweka mia mbili ya noti, basi nikaacha begi kwenye dawati mimi nikatoka nje kupumzka maana ilikuwa ni saa za mapumziko, NDANI DARASANI HAKUKUWA NA YEYOTE ALIYEBAKI... Muda wa mapumziko ulipoisha nilirudi darasani, basi nikavuta begi langu na kuanza kulikagua....
Duh!! Ule mkebe niliouacha ukiwa na mia mbili ya noti ndani yake sikuuta, na wala sikujua ulienda wapi hadi leo hii.... Sijui hata kilitokea nini