Na hili ndio tatizo au sharti la muku...shida moja wengine huwa wanaitumia vibaya hii faniUkiwa umechanjwa muku usianzishe ugomvi, kama unaonewa utawapiga hao waliokuonea uwaumize vibaya sana, lakini kama umechokoza utadundwa vibaya sana.
Hakuna cha muku wala mimi bana.Kama ni bondia na unataka uwapige wapinzani wako MUKU itafanya kazi?
Haahaahaa mkuu mie nataka nichanjiwe muku nikafanye fujo kituo cha polisi.Hakuna cha muku wala mimi bana.
Ni stori tu.
Haahaahaa mkuu mie nataka nichanjiwe muku nikafanye fujo kituo cha polisi.