GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,574
- 108,930
Na nyie Wafanyabishara wa Singida kwanini hata kama mnataka Kugombea Ubunge ( wa Jimbo Moja ) msiwe Wasiri ( Wakimya ) na badala yake Mnapayuka hadi mnayemtishia Ubunge wake anajua na anaanza nae Kuwakomoeni Kimafia kama hivi?
Hata Mimi GENTAMYCINE nataka Kugombea Urais wa Tanzania lakini mmeshasikia nikisema ni mwaka gani au lini?
Niko njiani sasa kwenda Burundi kuishi huko kwani Tanzania naona maisha ni Magumu na kila Siku hali inazidi tu kuwa mbaya.
Hata hivyo kwakuwa naipenda Tanzania na hasa wana Mkoa wa Singida nikiwa huko nchini Burundi nitajitahidi niwe naitafutia Mechi za Kirafiki Klabu yetu ya Singida Big Star Fedha Fountain Gate na Vilabu vya Burundi na ninaamini wakiwa wanakuja Bujumbura watatumia Mabasi mazuri, mengi na ya Kisasa ya Esther.
Hata Mimi GENTAMYCINE nataka Kugombea Urais wa Tanzania lakini mmeshasikia nikisema ni mwaka gani au lini?
Niko njiani sasa kwenda Burundi kuishi huko kwani Tanzania naona maisha ni Magumu na kila Siku hali inazidi tu kuwa mbaya.
Hata hivyo kwakuwa naipenda Tanzania na hasa wana Mkoa wa Singida nikiwa huko nchini Burundi nitajitahidi niwe naitafutia Mechi za Kirafiki Klabu yetu ya Singida Big Star Fedha Fountain Gate na Vilabu vya Burundi na ninaamini wakiwa wanakuja Bujumbura watatumia Mabasi mazuri, mengi na ya Kisasa ya Esther.