Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,678
- 40,880
Mzee alijitakia, ama alikua anaitafuta kwa nyuma
Mzee amekufa akipigania anachokipenda.
Kafa kishujaa!Mzee amekufa akipigania anachokipenda.
Wanachama wenzie watakua na majonzi sanaKafa kishujaa!
A toast for our fallen soldier!Wanachama wenzie watakua na majonzi sana
Daaah leo nimesikia habari mbaya mno, kuna mzee marehemu kabla ya kufariki aliongeza mke wa 3. Huyu mke alikuwa ni binti tu wa miaka 23. Kwa mujibu wa huyu binti, anasema siku moja usiku alishtuka usingizini na kukuta mzee anafosi kuingiza uume kwenye tigo.
Binti anasema alimsukuma, kwa kuwa mzee hakutegemea, akaanguka kutoka kitandani mpaka chini, akaangukia kichwa. Alifariki!
Binti aliua mumewe.
Haya alisimulia huyu binti kwenye group moja la mikasa Mara baada ya kutoka jela kwa msamaha wa Rais.
Mpaka leo hakuna anayejua siri hii isipokuwa yeye mwenyewe, na wale aliowasimulia mkasa wake.
Wanawake wauaji!!!!
Mzee mpumbavu unakulaje tigo kwa kuvamia😅Ukweli hio ni bahati mbaya,,, Wanawake ni makatili ndio(nakubali),, ila huyo ilikuwa bahati mbaya....alikuwa anaokoa marinda yake...so alisimama kwenye misingi yake.....so aliua bila kukusudia.....
Atahalalisha uuaji wake ile siku ambayo atakutana na kijana bitozi then aliwe tiGo kimasihara....
so atunze sana marinda,, kwa sababu yametunzwa kwa gharama ya uhai wa mzee wetu....
Mzee mpumbavu unakulaje tigo kwa kuvamia..
"Mzee marehemu kabla ya kufariki" mbona utata na majanga juu yake.Daaah leo nimesikia habari mbaya mno, kuna mzee marehemu kabla ya kufariki aliongeza mke wa 3. Huyu mke alikuwa ni binti tu wa miaka 23. Kwa mujibu wa huyu binti, anasema siku moja usiku alishtuka usingizini na kukuta mzee anafosi kuingiza uume kwenye tigo.
Binti anasema alimsukuma, kwa kuwa mzee hakutegemea, akaanguka kutoka kitandani mpaka chini, akaangukia kichwa. Alifariki!
Binti aliua mumewe.
Haya alisimulia huyu binti kwenye group moja la mikasa Mara baada ya kutoka jela kwa msamaha wa Rais.
Mpaka leo hakuna anayejua siri hii isipokuwa yeye mwenyewe, na wale aliowasimulia mkasa wake.
Wanawake wauaji!!!!
Hahahahah eti kwa gharama ya uhai wa mzee wetuUkweli hio ni bahati mbaya,,, Wanawake ni makatili ndio(nakubali),, ila huyo ilikuwa bahati mbaya....alikuwa anaokoa marinda yake...so alisimama kwenye misingi yake.....so aliua bila kukusudia.....
Atahalalisha uuaji wake ile siku ambayo atakutana na kijana bitozi then aliwe tiGo kimasihara....
so atunze sana marinda,, kwa sababu yametunzwa kwa gharama ya uhai wa mzee wetu....
Una roho mbaya weweWazee wengine wapuuzi acha afe tu