Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Mbona ume catch feelings bibie, mie nimeuliza very gently why giving a very harsh response aisee? Ofcourse i know its a free platform ila why untukane sasa?
I don't have any feelings nimejibu according to what u wrote early ulitumia hisia badala ya logic.

Kwanini na wewe uchallenge what I believe and judge me what the he'll do you think ur.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe baki na theory za ku cremisha eti dume atabaki dume loh. Mwanaume hujiamini kipimo chako had ushindane na wanawake una shida
Kumbe ushaliwa hadi na mashoga?

Endelea kujifariji kama KUNGWI ajifanyaye anajua kuwashauri wanandoa namna ya kuishi pa1 ilhali yeye mwenyewe hukuweza kuishi ktk ndoa hata ndani ya miaka miwili tu.

Dume anabakia kuwa dume tu, la sivyo uumbe Wanaume wako wataokuwa na vinasaba vya kike sawa na huyo MC Pilipili asiyejitambua.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazazi wangu wako perfect asilimia zote na kamwe even my daddy hana mambo ka yako ya kuumini mfumo dume eti ndo uanaume hayuko hvo. Wewe blame society iliyokulea vibaya kwa kuamini uanaume ni kuvumilia mateso na kutoonesha hisia ndo mana huwa mnakufa siku si zenu kwa kuweka vtu mioyoni.

Mume wangu akilia Kuna shida gani sasa yeye ni binadamu Ana hisia so sishangai sipendi binadamu asiye na hisia

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kukudanganya kuwa Mwanaume asipokulilia ndiyo ana mfumo dume?

Huo mfumo wenu wa haki sawa ndiyo unaowajengea viburi/jeuri ktk ndoa zenu ndiyomaana kila siku mnazidi kuachwa tu mkijilaumu kuwa hakuna Wanaume wa kuishi nanyi ktk ndoa kumbe wachawi wakuu ni ninyi ninyi wenyewe.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kukudanganya kuwa Mwanaume asipokulilia ndiyo ana mfumo dume?

Huo mfumo wenu wa haki sawa ndiyo unaowajengea viburi/jeuri ktk ndoa zenu ndiyomaana kila siku mnazidi kuachwa tu mkijilaumu kuwa hakuna Wanaume wa kuishi nanyi ktk ndoa kumbe wachawi wakuu ni ninyi ninyi wenyewe.



Sent using Jamii Forums mobile app
Bora kuachika kuliko kuishi kwenye mateso tutadai haki zetu popote pale by any means mpaka mubadilike muwe na heshima. Hayo mambo ya kale ya mateso Ili ndoa idumu hayana nafasi karne hii useme usipokuwa na mtu unakosa oxygen never, never.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazazi wangu wako perfect asilimia zote na kamwe even my daddy hana mambo ka yako ya kuumini mfumo dume eti ndo uanaume hayuko hvo. Wewe blame society iliyokulea vibaya kwa kuamini uanaume ni kuvumilia mateso na kutoonesha hisia ndo mana huwa mnakufa siku si zenu kwa kuweka vtu mioyoni.

Mume wangu akilia Kuna shida gani sasa yeye ni binadamu Ana hisia so sishangai sipendi binadamu asiye na hisia

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja.
Nitaonyesha uanaume wangu kwa mengine lakini kwenye mapenzi nasurrender to my emotions.
Kama huu ni udhaifu basi namshukuru Mungu kwa hilo.
 
Uko right mapenzi kitu kingine walah hayana mubabe au jemedari aisee kupenda kitu kingine mie nilijiapiza sipendi Ila nilipo patikana nilinyooka. Imagine watu mashuhuri hasa wafalme walikuwa dhaifu kwa wake zao
Naunga mkono hoja.
Nitaonyesha uanaume wangu kwa mengine lakini kwenye mapenzi nasurrender to my emotions.
Kama huu ni udhaifu basi namshukuru Mungu kwa hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hisia zako ndo zinakutumika hivo niko normal mbona. Yani mjinga wa JF anitese Ili iweje

Sent using Jamii Forums mobile app
Maana umeanza kuongea matusi which shows how upo weak. Una potray irony ya mtu flani ambae yupo arrogant katika kila post. Is that supposed to be a judgement? Ni maoni tu ungekuwa na busara unge take it easy instead of attacking me na matusi.
 
Hata sijaanza matusi ulianza character assassination simply we differ in arguing and then ukakimbilia ujuaji kwahyo na wewe u mjuaji simply vile mi ni ke nisiwe huru kuandika nikisikiacho vile waweza ni label as arrogant like seriously, mumeshindwa hoja na huyo mwenzako mkaanza attack.
Maana umeanza kuongea matusi which shows how upo weak. Una potray irony ya mtu flani ambae yupo arrogant katika kila post. Is that supposed to be a judgement? Ni maoni tu ungekuwa na busara unge take it easy instead of attacking me na matusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom