cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,326
Real man huwa Ana act ka mtu mwenye high level of maturity na sio blah blah za ku diss mwanaume mwenzako anayeoaMimi useless ninaeongea ukweli lakini
Sent using Jamii Forums mobile app
Real man huwa Ana act ka mtu mwenye high level of maturity na sio blah blah za ku diss mwanaume mwenzako anayeoaMimi useless ninaeongea ukweli lakini
I don't have any feelings nimejibu according to what u wrote early ulitumia hisia badala ya logic.Mbona ume catch feelings bibie, mie nimeuliza very gently why giving a very harsh response aisee? Ofcourse i know its a free platform ila why untukane sasa?
Kumbe ushaliwa hadi na mashoga?
Endelea kujifariji kama KUNGWI ajifanyaye anajua kuwashauri wanandoa namna ya kuishi pa1 ilhali yeye mwenyewe hukuweza kuishi ktk ndoa hata ndani ya miaka miwili tu.
Dume anabakia kuwa dume tu, la sivyo uumbe Wanaume wako wataokuwa na vinasaba vya kike sawa na huyo MC Pilipili asiyejitambua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kukudanganya kuwa Mwanaume asipokulilia ndiyo ana mfumo dume?Wazazi wangu wako perfect asilimia zote na kamwe even my daddy hana mambo ka yako ya kuumini mfumo dume eti ndo uanaume hayuko hvo. Wewe blame society iliyokulea vibaya kwa kuamini uanaume ni kuvumilia mateso na kutoonesha hisia ndo mana huwa mnakufa siku si zenu kwa kuweka vtu mioyoni.
Mume wangu akilia Kuna shida gani sasa yeye ni binadamu Ana hisia so sishangai sipendi binadamu asiye na hisia
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora kuachika kuliko kuishi kwenye mateso tutadai haki zetu popote pale by any means mpaka mubadilike muwe na heshima. Hayo mambo ya kale ya mateso Ili ndoa idumu hayana nafasi karne hii useme usipokuwa na mtu unakosa oxygen never, never.Nani kukudanganya kuwa Mwanaume asipokulilia ndiyo ana mfumo dume?
Huo mfumo wenu wa haki sawa ndiyo unaowajengea viburi/jeuri ktk ndoa zenu ndiyomaana kila siku mnazidi kuachwa tu mkijilaumu kuwa hakuna Wanaume wa kuishi nanyi ktk ndoa kumbe wachawi wakuu ni ninyi ninyi wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja.Wazazi wangu wako perfect asilimia zote na kamwe even my daddy hana mambo ka yako ya kuumini mfumo dume eti ndo uanaume hayuko hvo. Wewe blame society iliyokulea vibaya kwa kuamini uanaume ni kuvumilia mateso na kutoonesha hisia ndo mana huwa mnakufa siku si zenu kwa kuweka vtu mioyoni.
Mume wangu akilia Kuna shida gani sasa yeye ni binadamu Ana hisia so sishangai sipendi binadamu asiye na hisia
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah aisee hahahahsh
Naunga mkono hoja.
Nitaonyesha uanaume wangu kwa mengine lakini kwenye mapenzi nasurrender to my emotions.
Kama huu ni udhaifu basi namshukuru Mungu kwa hilo.
Ha ha kwani unateseka?Real man huwa Ana act ka mtu mwenye high level of maturity na sio blah blah za ku diss mwanaume mwenzako anayeoa
Sent using Jamii Forums mobile app
What you believe ni ujuaji? Ama umejiskia tu kuongea shit!I don't have any feelings nimejibu according to what u wrote early ulitumia hisia badala ya logic.
Kwanini na wewe uchallenge what I believe and judge me what the he'll do you think ur.
Sent using Jamii Forums mobile app
What you believe ni ujuaji? Ama umejiskia tu kuongea shit!
Ha ha kwani unateseka?
Maana umeanza kuongea matusi which shows how upo weak. Una potray irony ya mtu flani ambae yupo arrogant katika kila post. Is that supposed to be a judgement? Ni maoni tu ungekuwa na busara unge take it easy instead of attacking me na matusi.Hisia zako ndo zinakutumika hivo niko normal mbona. Yani mjinga wa JF anitese Ili iweje
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa lugha hizi unajinadi kuwa wewe ni mtu smart kweli. Mwanamke smart hawezi kutumia kauli chafu ili kupata attention. Unaweza tumia kauli soft na bado ukawa umeeleweka tu.Wewe umekuja na judgement zako ulitegemea nini. Dawa ya shit ni shit tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana umeanza kuongea matusi which shows how upo weak. Una potray irony ya mtu flani ambae yupo arrogant katika kila post. Is that supposed to be a judgement? Ni maoni tu ungekuwa na busara unge take it easy instead of attacking me na matusi.
Natumia lugha yoyote ninayo jiskia mda huo na hyo haiondoi u smart or whatever. Sometimes soft language doesn't matter.Sasa kwa lugha hizi unajinadi kuwa wewe ni mtu smart kweli. Mwanamke smart hawezi kutumia kauli chafu ili kupata attention. Unaweza tumia kauli soft na bado ukawa umeeleweka tu.