Mwambie huyo..
Endelea kuota tu.
Haya yametochululiwa rasmi toka CCM NA YAMETANGAZWAHaa ha ha Ben Saanane ebu taja hayo majimbo yapo wapi maana matokeo tumeishayaona yamebandikwa kwenye vituo na tunajua kujumlisha.
Mkuu mbona kama tumezidiwa!? Najifariji tu na Maalimu kwani niliombea sana ashinde japo nikaishi Zanzibar kuliko miaka mitano tena ya CCM.
Wewe na Yericco mtaunganishwa na hao wahuni mnaowaita wataalamu wa IT mliowatoa Kenya
NEC watangaze matokeo kama yalivyo vituoni.
Wakienda kinyume chadema itafanya kama Cuf walivyofanya Zanzibar.
Haya yametochululiwa rasmi toka CCM NA YAMETANGAZWA
Babati Mjini
Babati Vijijini
Moshi Vijijini
Siha
Tandahimba
Muleba Kusini
Bukoba Mjini
Vwawa
Tunduma
Ukonga
Temeke
Niendelee?
Mnatutishia na matokeo yenu feki? Tangazeni tuone! Msitake kabisa kutuharibia amani. Kwani hatujui na sisi matokeo ya huko vituoni kama wapiga kura. Wengi tumempa kura Magufuli lakino kura ya ubunge na udiwani kwa wapinzani. Mkijitangaza tutawanyoosha maana tuko wengi zaidi!
Hadi sasa Muungano wa UKAWA unaelekea kushinda majimbo zaidi 165 kwa mujibu wa Matokeo yanayokusanywa kutoka maeneo mbalimbali huku ikithibitisha mawaziri na Manaibu Waziri zaidi ya 13 wameangushwa kwa kishindo
Ben Saanane
Mkuuu Ben, mbona naona tumeburuzwa sehemu nyingi sana sasa itakuwaje tushinde hivyo viti?