bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Afu sio kila mtu mpwa wako, ohoooo hujashtuka tu?Mpwa hizo gap zote zimeshafidiwa na jimbo moja tu la Arumeru kwa zaidi ya kura 50,000
Afu sio kila mtu mpwa wako, ohoooo hujashtuka tu?Mpwa hizo gap zote zimeshafidiwa na jimbo moja tu la Arumeru kwa zaidi ya kura 50,000
Ukweli tume inacheza na saikolojia ya watanzania. Lowassa ameongoza maeneo mengi tena kwa mbali. Tume imeanza jumlisha maeneo SSM wameongoza.
Mkuu nani ahangaike na mjinga kama yule maana hata akiambiwa hataelewa sasa huyo wa nini kuhangaika naye.Mwache aungane na mwanri,kilango (mama wa ajabu sana kaolewa dodoma,anaishi dar anaongoza same).Kujifanya jeuri sasa akaishie kumfulia pichu le Mtzzz na Joni wakeMwambie huyo..
Ukweli tume inacheza na saikolojia ya watanzania. Lowassa ameongoza maeneo mengi tena kwa mbali. Tume imeanza jumlisha maeneo SSM wameongoza.
sure...Numbers don't lie!.
P.
Porojo za mnywa gongo hizi
Mnatutishia na matokeo yenu feki? Tangazeni tuone! Msitake kabisa kutuharibia amani. Kwani hatujui na sisi matokeo ya huko vituoni kama wapiga kura. Wengi tumempa kura Magufuli lakino kura ya ubunge na udiwani kwa wapinzani. Mkijitangaza tutawanyoosha maana tuko wengi zaidi!
Mwambie huyo..
Ukawa wanatangaza matokeo kama anavyotangaza January Makamba. I wish wote wasingetangaza au kama wanatangaza basi iwe ni official statement ya chama tujue moja, au ndio ilivyo?
Ndugu,mbona unadanganya hapa na sisi sote tupo karibu na vyombo vya habari tunasikia na kuona,mpaka usawa huu Magufuli anaongoza,ccm iko mbele sana tu! Mfano mzuri nimetumia mafuta yangu leo asbh kupita vituo vingi hapa jijini Mwanza nimeona jinsi ccm ilivyo mbele