ya kwako ni ipi

ya kwako ni ipi

SI unit

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
1,953
Reaction score
767
1374235_578927315476719_1873502945_n.jpg
 
Hiyo ya kwanza natumia nikiwa kwa watu
2,5 & 6 nikiwa ghetoni au home kwa wazazi
 
3, 8 na 9 zinafaa wakati umekula Maharage, unakaa kwenye Balcon unajifanya unasoma, kumbe unashusha Gas kama Kipengule cha Airbus A380
 
3, 8 na 9 zinafaa wakati umekula Maharage, unakaa kwenye Balcon unajifanya unasoma, kumbe unashusha Gas kama Kipengule cha Airbus A380
8 & 9 utakaa hivo kwa mda gani?maana kichwa kipo chini bila kuegemea kitu
 
No. 5 ndio pozi langu
ila najisikia kuijaribu no8 nione pozi litatuliaje
 
#8 na 9 lazima kitu yusuffffffffffffffffffff! kichukue nafasi
 
Si zinawahusu wanawake tu mwanaume atakaeka hivi si atatisha watu......kidada jitanueni zaidi hizi pozi zinawapendeza
 
5 na 6, mpka nimeharibu makochi home, niwe nasoma gazeti, nawatch tv, nipo kwa laptop, ndio mikao yangu
 
Back
Top Bottom