Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Nitumie busara hii ya juu kabisa katika weledi wangu kukupa SALUTI ya KIJESHI Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu, "Jambo Afandeeee!"
Baada ya salamu ya kijeshi naomba kukuuliza afande, Hivi ACP Ramadhan Mungi ameshindwa kuweka ulinzi pale Kalenga?
Jimbo la Kalenga lenye ukubwa wa kilomita za mraba 401, lenye wakazi wasiozidi 27500, lenye idadi ya wapiga kura 16,000, lenye wazee 75%, lenye akina mama 78%, lenye wageni mahususi wa uchaguzi wasiozidi 1500, lenye umasikini 98%,
Kwanini upeleke vikosi vya kijeshi toka nje ya Mkoa wa Iringa? Vikosi toka Mtwara, Lindi, Songea, Mbeya, Rukwa nk vimewasili jua la jana katika ardhi ya Kalenga vikitajwa eti vimekwenda kuimarisha ulinzi, hivi vikosi vya Mkoa wa Iringa na viunga vyake haviwezi kweli kuimarisha ulinzi katika eneo hilo???
Afande Mangu, ninapata hofu zaidi ninapopata taarifa za kuogofya kuwa JWTZ nao wamevalishwa nguo za kipolisi na kuingia kwenye shughuli za ulinzi wa uchaguzi huo, lakini zaidi inasemekana kile kikosi toka Mtwara kilichohusika na mauaji ya Mwangosi pale Nyololo nacho kimetia timu eneo hilo,
Naomba sana Jah aepushie mbali yasije kutokea mauaji ya raia wasio na hatia kabla na baada ya uchaguzi.
Baada ya salamu ya kijeshi naomba kukuuliza afande, Hivi ACP Ramadhan Mungi ameshindwa kuweka ulinzi pale Kalenga?
Jimbo la Kalenga lenye ukubwa wa kilomita za mraba 401, lenye wakazi wasiozidi 27500, lenye idadi ya wapiga kura 16,000, lenye wazee 75%, lenye akina mama 78%, lenye wageni mahususi wa uchaguzi wasiozidi 1500, lenye umasikini 98%,
Kwanini upeleke vikosi vya kijeshi toka nje ya Mkoa wa Iringa? Vikosi toka Mtwara, Lindi, Songea, Mbeya, Rukwa nk vimewasili jua la jana katika ardhi ya Kalenga vikitajwa eti vimekwenda kuimarisha ulinzi, hivi vikosi vya Mkoa wa Iringa na viunga vyake haviwezi kweli kuimarisha ulinzi katika eneo hilo???
Afande Mangu, ninapata hofu zaidi ninapopata taarifa za kuogofya kuwa JWTZ nao wamevalishwa nguo za kipolisi na kuingia kwenye shughuli za ulinzi wa uchaguzi huo, lakini zaidi inasemekana kile kikosi toka Mtwara kilichohusika na mauaji ya Mwangosi pale Nyololo nacho kimetia timu eneo hilo,
Naomba sana Jah aepushie mbali yasije kutokea mauaji ya raia wasio na hatia kabla na baada ya uchaguzi.