Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,270
- Thread starter
- #41
nina hati original ya kiapo cha huyu kamanda.....
Mkuu wangu hebu nitupie nami
nina hati original ya kiapo cha huyu kamanda.....
Mkuu wangu hebu nitupie nami
Lissu nae ni bendera tu? ama kweli dhambi ya ubaguzi ni mbaya
muhuni ni wewe na kizazi chenu chenye akili zilizoganda! usitukane wapenda maendeleo kwa kupenda kushiba kama chatu na kulala bungeni ukiwaacha watanzania wakipata shida utafikiri tuko nchi isiyo na chochote!Ni wahuni na vibaka wanapaswa kushughulikiwa na vyombo vya ulinzi na usalama
Ni wahuni tumuhuni ni wewe na kizazi chenu chenye akili zilizoganda! usitukane wapenda maendeleo kwa kupenda kushiba kama chatu na kulala bungeni ukiwaacha watanzania wakipata shida utafikiri tuko nchi isiyo na chochote!
Laiti ungejua kuwa nawe umekalia kuti kavu wala usingesema uupuzi hapa.....we ni punda tu wa kuwafanya wengine washibe ingawa kwa kufanya hivyo nawe unambulia makombo yanayokufanya ujione upo tofauti nasi ila tambua siku kikinuka wakuu wenye DUAL citizenship ambao ndo wanaokutuma utuletee upumbavu huu usioingilika kichwani kwa ujira Buku 7 hawatakuwepo hapa for you ....nyambafu sana!Ni wahuni tu