Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
.GREAT THINKERS should never take any thing from forum members(like gama) but from gaigin et al
nimeuliza kama source ni Gama tu kwa sababu ulisema wewe 'umenusa' tu hiyo habari, na nnavyo amini habari ya kunuswa tu kutoka sehemu isitumike kama ushahidi kwenye hukumu.
nilidhani ungerudi hapa na kukubali kuwa hukupaswa kunukuliwa katika hukumu, kumbe ndo kwanza unataka ujiko!