Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,607
- 93,385
Mungu amemaliza ugomvi.Yule mwendazake alikuwa agent wa shetani na bingwa wa unafiki,ashukuriwe mola aliyelifyekelea mbali dubwana lile, lilikuwa katili mno,
Mungu amemaliza ugomvi.Yule mwendazake alikuwa agent wa shetani na bingwa wa unafiki,ashukuriwe mola aliyelifyekelea mbali dubwana lile, lilikuwa katili mno,
Acha, acha acha kabisa. Watu wako na hisia zao hapa. Unatoka asubuhi unatumia dakika 45 na unafika usiku"Tulifika gerezani Hanyegwa mchana,kiasi cha saa tisa usiku"
Wewe ni mbwa tu na utamkumbuka sana alivyokufanya mpaka ukakimbia nchi hata SA ukashindwa kukaa biashara ya madawa ikashindikana chezea Magufuli wewe!! Saa hizi nakuona unahangaika sana na maisha. Njoo tena ufanye hiyo biashara yako ya madawa tukuone kama hutapigwa miaka 30 ama maisha kabisa.Tuliza kishundu wewe, Magufuli ni moja Kwa moja motoni.
'Hanyegwa mchana' ni jina la gereza."Tulifika gerezani Hanyegwa mchana,kiasi cha saa tisa usiku"
Sijui mleta uzi anafaidika aje hapa?Wazanzibar wanaifaidi sana kwenye huu muungano wa Tanzania wanavuna mabilion kwa mabilion
Walivyo wajanja wanalalamika ile waendelee kuwaibia watanganyika
Ni ccm na vyombo vyote vya dola! Huyu hayupo sasa, je waliobaki ni malaika? Sidhani!Magufuli ni shetani.
'Hanyegwa Mchana' ni jina, tulia na uelewe unachosoma."Tulifika gerezani Hanyegwa mchana,kiasi cha saa tisa usiku"
Avumaye baharini papa, kumbe wengine wapo!Yule mwendazake alikuwa agent wa shetani na bingwa wa unafiki,ashukuriwe mola aliyelifyekelea mbali dubwana lile, lilikuwa katili mno,
Ambacho nimekuja kugundua ni kuwa waTz tuna roho mbaya sana, yaani kujidai tuna utu na amani ni unafiki tu.Aiseee nimelia kama nimefiwa na Mama... ;;
Kilichoniuma zaidi JWTZ walihusika aiseee kisa nini hasa ? Madaraka !!? Pesa ?? Au nini ???
HIVI WALIOFANYA HIVYO NI WATANZANIA KWELIIII ????
EENHEE !! MUNGU WANGU.