nyiehata kama mtamtukana au kumsema kwa thread aliyotuma, haijalishi lengo lake limetimia, 'kawasomesha na ninyi mmekubali kuisoma hiyo thread yake' hongera mkuu kwa kuwasomesha kwa nguvu lugha yako ya kipolipoli...
vp habari za tanangozi mkuu, vp nyumba yako ndogo ya lupalama B haijambo?
naona cku unaanza kuitokea ulikuwa unababaika hivyo....nakutania mzee wa ga gi gu kaka ki