Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,173
- 1,488
Redmi 10c yenyewe camera ni yamoto inaendana na iPhone 7 plus
Tigo Sa hivi hawana afu wameanza kuzirusha beiRedmi 9A na 9C zimetoka muda mmoja na 9, sijui kama zimeisha huko Tigo ila miezi kadhaa mwaka huu huu niliziona.
Ukikosa Tigo unapata Kenya kama una Connection, nako chini ya laki 3.
ni simu ya zamani mkuu so kikawaida inaanza kuwa adimu, subiria redmi 11C kama nayo itakuja na soc nzuri kama 10C inaweza kuwa simu nzuri zaidi, note 11 ina sd 4 gen 1Tigo Sa hivi hawana afu wameanza kuzirusha bei
hapo unapigwa, hio note 10s si ilikuwa laki 4?
Wamepandwa na tamaa.hapo unapigwa, hio note 10s si ilikuwa laki 4?
pia website yao inaonesha laki 5
Nadhani kuna watu walikuwa wanazichukua tigoshop Kwa Kasi ya kimbunga then wanaziuza bei juu na zile offer pia wanaziuza kivingine .
Xiaomi official store/ Super dealer Tz tutasubiri Sana.hapo unapigwa, hio note 10s si ilikuwa laki 4?
pia website yao inaonesha laki 5
Ama Tigo awe anachukua kwa hawa ma Agent wajanja wajanja wa TZ.Xiaomi official store/ Super dealer Tz tutasubiri Sana.
Hiyo itakuwa ni michezo ya wahudumu wa tigoshop kupiga cha juu
Yawezekana piaAma Tigo awe anachukua kwa hawa ma Agent wajanja wajanja wa TZ.
Mkuu kama kuna mtu anahitaji simu ya Redim S10 niunganishe ninayo ina umri wa miezi minne bei 450000/= laki nne na hamsini elfu, haina punguzoni simu ya zamani mkuu so kikawaida inaanza kuwa adimu, subiria redmi 11C kama nayo itakuja na soc nzuri kama 10C inaweza kuwa simu nzuri zaidi, note 11 ina sd 4 gen 1
Inasemekana wale jamaa wa tigo shop ni Freelance tu wanatakiwa wajilipe wenyewe so why wanajiongeza.Nadhani kuna watu walikuwa wanazichukua tigoshop Kwa Kasi ya kimbunga then wanaziuza bei juu na zile offer pia wanaziuza kivingine .
Hapo ukute wahudumu wa tigo wameingiwa na tamaa ndio wanapiga cha juu.
Make sense mkuu, Redmi note 11 inauzwa ghali sana uki compare na Avechi, series zilizopita kama note 10, 10s, redmi 9 etc zilikuwa rahisi kuliko China na Kenya.Inasemekana wale jamaa wa tigo shop ni Freelance tu wanatakiwa wajilipe wenyewe so why wanajiongeza.
Mkuu, hivi unaweza ku-update MIUI software bila ku-update Android version?Make sense mkuu, Redmi note 11 inauzwa ghali sana uki compare na Avechi, series zilizopita kama note 10, 10s, redmi 9 etc zilikuwa rahisi kuliko China na Kenya.
Possible ila sio wewe, ni Xiaomi wenyewe.Mkuu, hivi unaweza ku-update MIUI software bila ku-update Android version?
Kwa mfano Xiaomi Redmi 10 ina MIUI 12.5 na Android 11, je unaweza kui-update hadi MIUI 14 na kubaki Android 11 palepale bila kushift kwenda Android 13?
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Sawa asantePossible ila sio wewe, ni Xiaomi wenyewe.
Nimeona Miui 14 ipo kote kote Android 12 na 13
Kwanzia July 2022 simu zilirudishwa kwenye VAT, kwa hiyo na Tigo nao wakaongeza VAT kwenye bei, kabla ya hapo niliwahi kununua Redmi 9A 32GB @ 215,000 lakini baada ya july bei yake ni 250,000. Redmi 10C 64GB ilikua 320,000 sasa hv naona wanauza 375,000.Inasemekana wale jamaa wa tigo shop ni Freelance tu wanatakiwa wajilipe wenyewe so why wanajiongeza.
Kwa hiyo ukiagiza simu nje ikiingia hapa unalipia VAT?[emoji848][emoji848]Kwanzia July 2022 simu zilirudishwa kwenye VAT, kwa hiyo na Tigo nao wakaongeza VAT kwenye bei, kabla ya hapo niliwahi kununua Redmi 9A 32GB @ 215,000 lakini baada ya july bei yake ni 250,000. Redmi 10C 64GB ilikua 320,000 sasa hv naona wanauza 375,000.
Ndio.. Lakn hili swala naona halitiliwi mkazo sana. Kuna baadhi ya posta utalipa na nyingine unaweza usidaiwe. Pia kwa AliExpress ukibahatika kutumiwa parcel kwa Speedaf hautalipa. Cha kuzingatia ni kwamba simu zinapaswa kulipiwa VAT.Kwa hiyo ukiagiza simu nje ikiingia hapa unalipia VAT?[emoji848][emoji848]
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app