Xiaomi 13 pro: Simu bora ya Xiaomi 2022

Xiaomi 13 pro: Simu bora ya Xiaomi 2022

Kumbe ndo kosa nililolifanya aiseee najutaaaaaaaaaa nataman hata kutupa simu

Oya nilikuwa natumia samung note 10 plus ndani ya mwaka tu ikaanza kubadilisha rangi kwenye kioo nikaipeleka samsung walivyoitengeneza tu nikaiuza nakuhamia iphone 13 pro max ebwanee huu ulimwengu nimzuri sana kwanza freshrate ipo bora sana inakaa nachaji kuliko flagship yoyote ile ya 2021 kwenye camera sasa yaniukipiga picha hunahaja yakuongeza mirangi hapo ndonikapata jibu kwanini wanawake wengi duniani wanapenda iphone unapiga picha unapost kitu kingine nilichokipenda zaidi ni apple music unalipia 7000 kwamwezi tu unapata music iliokuwa bora kabisa wapenzi wamuziki wanajua ubora wa music dolby atmos haiumizi masikio kingine unaweza kuminya sauti yamsanii ikabaki beat ukawa unaimba mwenyewe tu kiufupi nilichelewa sana kuingia kwenye huu ulimwemgu kiufupi navyoviitaji vyote kwenye simu iphone wamenipa so unatakiwa ujue unaitaji nini kwenye simu kabla hujanunu simu
 
Hzo simu software ni pooor
MIUI software sio poor, ina features nyingi sana. Shida ipo kwenye kuupdate tu ndio simu inamisbehave, ambayo hiyo shida ipo hata kwenye One UI ya Samsung pia. Kwangu mimi huwa sipendi kuupdate software, hiyo sio shida kwangu.
Kama unaongelea software basi MIUI sio poor, labda hiyo ColorOS ya Oppo
 
Hzo simu software ni pooor
MIUI software sio poor, ina features nyingi sana. Shida ipo kwenye kuupdate tu ndio simu inamisbehave, ambayo hiyo shida hata kwenye One UI ya Samsung pia. Kwangu mimi huwa sipendi kuupdate software, hiyo sio shida kwangu.
Kama unaongelea software basi MIUI sio poor, labda hiyo ColorOS
 
MIUI software sio poor, ina features nyingi sana. Shida ipo kwenye kuupdate tu ndio simu inamisbehave, ambayo hiyo shida ipo hata kwenye One UI ya Samsung pia. Kwangu mimi huwa sipendi kuupdate software, hiyo sio shida kwangu.
Kama unaongelea software basi MIUI sio poor, labda hiyo ColorOS ya Oppo

Ukilinganisha na samsung Ui , MiUI bado si sio stable. If update tu haiboreshi simu inaongeza matatizo something is needed.
Samsung UI Wanafukuzana na IOS kwa ubora muda huu.
 
Ukilinganisha na samsung Ui , MiUI bado si sio stable. If update tu haiboreshi simu inaongeza matatizo something is needed.
Samsung UI Wanafukuzana na IOS kwa ubora muda huu.

tukubali tusikubali kwa update ISO yupo vizuri sana
 
Ukilinganisha na samsung Ui , MiUI bado si sio stable. If update tu haiboreshi simu inaongeza matatizo something is needed.
Samsung UI Wanafukuzana na IOS kwa ubora muda huu.
Hivi kwa nini kama Samsung na Xiaomi zinatumia chipset ya aina moja Xiaomi ndio zinakua faster?
Ni kwa sababu MIUI sio nzito kama One UI. One UI ina vitu vingi na ni vizito kuoperate kuliko MIUI.
Kingine One UI ina bloatware kuliko MIUI, mi sipendi, inakula storage kubwa sana. Samsung ya 64GB unaweza kukuta umebakishiwa 48GB tu, huku 16GB zote zinaishia kwenye software yenye bloatware, tena useless kabisa. Simu za Xiaomi zenye 64 GB unaweza kukuta hadi 55GB free.
Uzuri wa One UI hauzuii Software nyingine nazo kuwa nzuri, hiyo One UI haijaiacha MIUI parefu. Hata hivyo styles, app icons na muonekano mzima wa MIUI unavutia kuliko wa One UI. Features za MIUI nyingi zinakosha kuliko za One UI
Muonekano wa One UI sijui ukoje, mi nauona upo serious sana, serious kama beberu anavyokuwa akikukunjia sura.
MIUI inavutia hta ukiiangalia kwa macho kweli software inaita,software inatoa nyoka pangoni, inaita kama toto la kizanzibari linalonukia marashi ya karafuu likikukonyeza kwa jicho moja lililopakwa wanja wa kiarabu.
Xiaomi Forever
 
MI wanazingua sana , Camera sjui zina maruhan , sometime picha zinatoka clear , sometime zinakuwa blurred, mpak urestart simu ndo inakaa mkao , too much update command , alaf app nyingi zinakuwa na matangazo , kwenye music player ina display sio nyimbo zote , zingine mpak ukazitaftie kwenye file manager ,

Sometime ukiweka laini mbili za mtandao mmoja , inakuwa inachelewa kurespond mpak Kero, ukienda kwenye recently call ni empty mpak baada ya mda ina display .... !! Soon nahamia iPhone series
Ni kweli MIUI haina stability, software zao zimekaa kimchongo, nawahama soon, ngoja nikajaribu na oppo
 
Oya nilikuwa natumia samung note 10 plus ndani ya mwaka tu ikaanza kubadilisha rangi kwenye kioo nikaipeleka samsung walivyoitengeneza tu nikaiuza nakuhamia iphone 13 pro max ebwanee huu ulimwengu nimzuri sana kwanza freshrate ipo bora sana inakaa nachaji kuliko flagship yoyote ile ya 2021 kwenye camera sasa yaniukipiga picha hunahaja yakuongeza mirangi hapo ndonikapata jibu kwanini wanawake wengi duniani wanapenda iphone unapiga picha unapost kitu kingine nilichokipenda zaidi ni apple music unalipia 7000 kwamwezi tu unapata music iliokuwa bora kabisa wapenzi wamuziki wanajua ubora wa music dolby atmos haiumizi masikio kingine unaweza kuminya sauti yamsanii ikabaki beat ukawa unaimba mwenyewe tu kiufupi nilichelewa sana kuingia kwenye huu ulimwemgu kiufupi navyoviitaji vyote kwenye simu iphone wamenipa so unatakiwa ujue unaitaji nini kwenye simu kabla hujanunu simu
Vipi ubora na mvuto wa kioo ukilinganisha na hiyo Samsung?
 
Vipi ubora na mvuto wa kioo ukilinganisha na hiyo Samsung?

Nduguu kioo kipo vizuri kinoma kwanza hakiboi machonii nilikuwa na note 10+ nilikuwa nikicheki video kioo kinawaka sana mpaka na punguza mwanga ila 13 pro max kipo vizuri sana japo wana sema apple wamewapa Samsung tenda ya kuwatengenezea vioo basi samsung wamewapendelea iphone maana kioo kinauhalisia kabisa nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe safi sana
 
Nduguu kioo kipo vizuri kinoma kwanza hakiboi machonii nilikuwa na note 10+ nilikuwa nikicheki video kioo kinawaka sana mpaka na punguza mwanga ila 13 pro max kipo vizuri sana japo wana sema apple wamewapa Samsung tenda ya kuwatengenezea vioo basi samsung wamewapendelea iphone maana kioo kinauhalisia kabisa nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe safi sana
Mkuu inajulikana kabisa Samsung ndio king wa display
Kioo cha Samsung Galaxy S22 Ultra ni kizuri mara mia ya iPhone 13 pro Max, Samsung hawajawapendelea iPhone, hiyo Note 10+ unayoiongelea ni ya 2019 wakati iPhone 13 pro Max ni ya 2021.
Samsung is the KING OF DISPLAY
 
MIUI software sio poor, ina features nyingi sana. Shida ipo kwenye kuupdate tu ndio simu inamisbehave, ambayo hiyo shida hata kwenye One UI ya Samsung pia. Kwangu mimi huwa sipendi kuupdate software, hiyo sio shida kwangu.
Kama unaongelea software basi MIUI sio poor, labda hiyo ColorOS
Aisee wapi nitapata mix fold 2 kwa Dar?
 
Oya nilikuwa natumia samung note 10 plus ndani ya mwaka tu ikaanza kubadilisha rangi kwenye kioo nikaipeleka samsung walivyoitengeneza tu nikaiuza nakuhamia iphone 13 pro max ebwanee huu ulimwengu nimzuri sana kwanza freshrate ipo bora sana inakaa nachaji kuliko flagship yoyote ile ya 2021 kwenye camera sasa yaniukipiga picha hunahaja yakuongeza mirangi hapo ndonikapata jibu kwanini wanawake wengi duniani wanapenda iphone unapiga picha unapost kitu kingine nilichokipenda zaidi ni apple music unalipia 7000 kwamwezi tu unapata music iliokuwa bora kabisa wapenzi wamuziki wanajua ubora wa music dolby atmos haiumizi masikio kingine unaweza kuminya sauti yamsanii ikabaki beat ukawa unaimba mwenyewe tu kiufupi nilichelewa sana kuingia kwenye huu ulimwemgu kiufupi navyoviitaji vyote kwenye simu iphone wamenipa so unatakiwa ujue unaitaji nini kwenye simu kabla hujanunu simu
Sio lazima uwe na iPhone ndo upate Apple music..hata Android mtu anaweza kuwa na Apple music..ni streaming servive kama Deezer na Spotify
 
Ukilinganisha na samsung Ui , MiUI bado si sio stable. If update tu haiboreshi simu inaongeza matatizo something is needed.
Samsung UI Wanafukuzana na IOS kwa ubora muda huu.
Samsung one UI wakorea wametulia..

Samsung experience na Touchwiz zilikuwa za ajabu ajabu tu.

Hii one UI ni visually appealing sana pia.
 
Samsung one UI wakorea wametulia..

Samsung experience na Touchwiz zilikuwa za ajabu ajabu tu.

Hii one UI ni visually appealing sana pia.

Haswa latest update is so smooth balaa. Wakiendelea zaid wata surpass hata ios
 
Back
Top Bottom