Xiaomi 13 pro: Simu bora ya Xiaomi 2022

Reuben Challe

JF-Expert Member
Dec 10, 2021
2,761
5,039
Hii, December Xiaomi wameachilia chombo kipya tena, Xiaomi 13 pro. Simu hii inapatikana kwa shilingi za kitanzania kama 2,821,000/= hivi kule AliExpress
Hii ni picha ya Xiaomi 13 pro
Screenshot_20221214-085922.jpg

Simu hii inakuja na 8/12GB RAM na storage kuanzia 128GB hadi 512 GB, yaani matoleo ya aina tatu: (8GB+128GB), (12GB+256GB) na (12GB+512GB)
Xiaomi-13-Pro_5.jpg

Rangi zake ndo hizo hapo juu. Display yake ina 6.73inches na refresh rate ya 120Hz type yake ni LTPO, OLED screen. Display yake ni Corning Gorilla Glass Victus na Resolution yake inafikia 1440×3200p huku aspect ratio yake ikiwa 20:9 na ~522ppi density
Screenshot_20221214-090524.jpg

8GB/12GB RAM ya Xiaomi 13 pro iko supported na chipset ya Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2, ambayo ndio Snapdragon yenye nguvu zaidi kwa sasa.
202212111650_76ce74f145844670487e84627a047951.jpg

Xiaomi 13 pro ni IP68 dust/water resistance. Kwa maji yenye kina cha mita 1.5, simu hii inaweza kukaa chini ya hayo maji mpaka dakika zipatazo 30.
202212111628_37c7ef9c048504eb9453b7c530b59b68.jpg

Kamera zipo tatu kwa nyuma na kweli zinafanya kazi nzuri, ukipiga picha bustani, unaweza sema ni Eden. LEICA hanaga kazi mbovu. Specification za kamera ya nyuma ni:
50.3MP (f/1.9) 23mm (wide)
50MP (f/2.0) 75mm (telephoto)
50MP (f/2.2) 14mm, 115° (ultra wide), AF.
Features za kamera ya nyuma ni: LEICA lens, Dual LED dual-tone flash, HDR na panorama. Ina uwezo wa kurekodi 8K videos, 4K na 1080p
8K@24fps (HDR)
4K@24/30/60fps (HDR 10+, 10bit Dolby Vision HDR, 10-bit LOG)
1080p@30/120/240/960fps
1080p@1920fps, gyro EIS
202212111628_736aa5a62bc78ce8814179aa29dbdb99.jpg

Kamera ya mbele yaani Selfie Camera ni moja tu "Single 32MP (wide)" na features zake ni HDR na Panorama na inarekodi video ambazo ziko limited kwenye 1080p@30fps. Inatoa video nzuri sana, ukiwa nayo Tiktok itakukoma
1671003412_5969960_s1080_1440wh.jpg

Xiaomi 13 pro inatumia Stereo speakers, yaani wapenzi wa muziki hapa ndio mahala salama
COMMS
WLAN - Wi-Fi 802.11 a/b/g/n/ac/6e, dual band, WiFi Direct
Bluetooth: 5.3, A2DP, LE
Positioning: GPS (L1+L5), GLONASS(GI), BDS (B1l+B1c+B2a), GALILEO (E1+E5a), QZSS(L1+L5), NavIC (L5)
Xiaomi-13-Pro-.jpg

Xiaomi 13 pro ina accelerometer, proximity, gyro, compass barometer na colour spectrum ambazo ni features zake bila kusahau FINGERPRINT SENSOR iko ndani ya display
Xiaomi 13 pro inatumia Android 13 na imebase kwenye software ya MIUI 14 ambayo imedesigniwa na Xiaomi wenyewe. Maoni mengi ya wa watu juu ya MIUI 14 ni kwamba ni software nzuri, ipo faster na ni kweli imeimprove ukilinganisha na MIUI 13, ambalo ndio toleo lililopita. MIUI 14 ni software kali sana, binafsi nimevutiwa nayo
MIUI-14-homepage.jpg
1670997101_7827360_s1536_2048wh!540x5400.jpg

Bila kusahau na battery yake, Non-Removable Li Po 4820mAh.
202212111628_fb4bc17c572ace43f1bdace3ec128917.jpg

Inakuja na wired charger 120W inayochaji simu hiyo kutoka 0% hadi 100% kwa dakika 19 tu. Pia inaoffer 50W wireless charger inayojaza simu hiyo kwa dakika 36 tu, pia ina 10W reverse wireless charger.
018cb5ca67.jpg

Huko China Xiaomi 13 na 13pro zinaendelea kununuliwa na watu wanapata kuenjoy ulimwengu wa Mi
1671003412_9381682_s1080_1440wh.jpg

Xiaomi 13 pro inanifanya niipende Xiaomi kuliko Apple. Hizi simu ni EXTRA FIRE
1670995332_8454481_s3072_4096wh!540x5400.jpg

Angalia specs za Xiaomi 13 pro hapo chini
20221214_205329.jpg

Sasahivi unaweza kununua simu zao kutoka official Xiaomi store, China online. Bei zake ni nzuri kama hizo hapo chini
"Xiaomi MIX 4" kwa TSh 1,408,809/=
b127cc0b8ace12de00bbb6b55613e266.jpg

"Xiaomi 12S Ultra" kwa TSh 2,012,728/=
202207011810_86ad513472d1423a3fdec8d7d5107038.jpg

"Xiaomi Mi MIX Alpha" kwa TSh 6,709,876/=
0c4b5e30d14ca8b51dc6fa6917295ff5.jpg

"Xiaomi 13" kwa TSh 1,341,706/=
202211292351_92aba2c69123166a74ba2e2b525b1ae2.jpg

"Xiaomi 11 Ultra" kwa Tsh 1,341,706/=
cea1ff3517387569b7f59fc2b7d01d30.jpg

"Xiaomi Redmi K50 Gaming Edition" kwa TSh 804,889/=
Xiaomi-Redmi-K50-Gaming-pic-2.jpg

Pia usisahau, kama unatafuta simu nzuri chini ya laki nne, Xiaomi Redmi Note 10 5G kuna mahali inauzwa around TSh 333,000/= kule AliExpress. Long live Xiaomi.
Screenshot_20221214-222045.jpg

China feels proud of Xiaomi
 
Nenda Samsung.... huyu mchina sijui Xiaomi mara Oppo ni takataka
Ni kweli ila Samsung hanipati kwasababu highend zao hazikai chaji na matoleo ya A yanayokaa chaji hayana tofauti na wachina, hapo ndo najikuta natamani kurudi Huawei tu... Ni vile simu zao mpya ngumu kupata ila wale jamaa nshawahi tumia simu zao iwe high-end ama low-end huwa ni full package, unapata miaka mitatu ya ubora bila zengwe
 
Ni kweli ila Samsung hanipati kwasababu highend zao hazikai chaji na matoleo ya A yanayokaa chaji hayana tofauti na wachina, hapo ndo najikuta natamani kurudi Huawei tu... Ni vile simu zao mpya ngumu kupata ila wale jamaa nshawahi tumia simu zao iwe high-end ama low-end huwa ni full package, unapata miaka mitatu ya ubora bila zengwe
Xiaomi 12S Ultra na Galaxy S22 Ultra huwezi linganisha, Xiaomi ipo juu.
Xiaomi 13 pro ndio next level kabisa.,Siku hizi watu wameanza kugundua hata hizo Samsung hazina uspecial wowote, flagship zao zinapitwa karibia kila kitu na flagship za Wachina sikuhizi ila bado bei zao zipo juu kuliko hao Wachina walio juu yake. Bahati mbaya Bongo wamekariri kuwa hakuna simu kama Samsung.
Ukienda Samsung A-series ndio majanga matupu, bora Redmi. Samsung ziko overpriced bila sababu ya msingi na watu wanaendelea kupumbazwa na jina la BRAND ila hawa Wakorea products zao sio Value for money, sema tu kampuni iliweka rekodi nzuri miaka michache iliyopita, watu wakakariri hakuna simu kama Samsung. Kuna watu wamelizwa
Xiaomi ndio wanajali pesa yako. Kwa laki tatu na nusu huwezi pata Ssmsung mpya ya miaka ya karibuni inayofikia uwezo hata Redmi 10C, hakuna.
Bora hata aende Oppo, Wachina wanathamini pesa yako mkuu
 
Xiaomi 12S Ultra na Galaxy S22 Ultra huwezi linganisha, Xiaomi ipo juu.
Xiaomi 13 pro ndio next level kabisa.,Siku hizi watu wameanza kugundua hata hizo Samsung hazina uspecial wowote, flagship zao zinapitwa karibia kila kitu na flagship za Wachina sikuhizi ila bado bei zao zipo juu kuliko hao Wachina walio juu yake. Bahati mbaya Bongo wamekariri kuwa hakuna simu kama Samsung.
Ukienda Samsung A-series ndio majanga matupu, bora Redmi. Samsung ziko overpriced bila sababu ya msingi na watu wanaendelea kupumbazwa na jina la BRAND ila hawa Wakorea products zao sio Value for money, sema tu kampuni iliweka rekodi nzuri miaka michache iliyopita, watu wakakariri hakuna simu kama Samsung. Kuna watu wamelizwa
Xiaomi ndio wanajali pesa yako. Kwa laki tatu na nusu huwezi pata Ssmsung mpya ya miaka ya karibuni inayofikia uwezo hata Redmi 10C, hakuna.
Bora hata aende Oppo, Wachina wanathamini pesa yako mkuu

Xaomi wamekuja vizuri, wana better hardware. Shida yao moja tu software side, ndio hapo wanapozidiwa na wengine
 
Mimi nina Poco F3 ina mwaka na miezi speed ile ile ubora wa battery bado uko vizuri sitegemei wala sitamani kuhama Xiaomi.

2018 nilianza na Redmi Note 5 Pro ikafata Note 6 Pro Note 7 nikahamia Poco,mwaka huu mambo yamekuwa mengi ningeshabadilisha ila mwakani nitaangalia namna.
 
Mimi nina Poco F3 ina mwaka na miezi speed ile ile ubora wa battery bado uko vizuri sitegemei wala sitamani kuhama Xiaomi.

2018 nilianza na Redmi Note 5 Pro ikafata Note 6 Pro Note 7 nikahamia Poco,mwaka huu mambo yamekuwa mengi ningeshabadilisha ila mwakani nitaangalia namna.
Uko vizuri, hapo bado kutumia Xiaomi zenyewe na Black Shark
 
Ni kweli ila Samsung hanipati kwasababu highend zao hazikai chaji na matoleo ya A yanayokaa chaji hayana tofauti na wachina, hapo ndo najikuta natamani kurudi Huawei tu... Ni vile simu zao mpya ngumu kupata ila wale jamaa nshawahi tumia simu zao iwe high-end ama low-end huwa ni full package, unapata miaka mitatu ya ubora bila zengwe
Hata mie natumia Redmi waoo inakaa na charge na kamera amazing sana nani four g hata wakijiji anatumia Samsung nimenunua hadi ya ml1 ila haikai na charge inawaka Waka usiku nakuzima charge
 
Mzee ungeenda
Hii, December Xiaomi wameachilia chombo kipya tena, Xiaomi 13 pro. Simu hii inapatikana kwa shilingi za kitanzania kama 2,821,000/= hivi kule AliExpress
Hii ni picha ya Xiaomi 13 pro
View attachment 2446886
Simu hii inakuja na 8/12GB RAM na storage kuanzia 128GB hadi 512 GB, yaani matoleo ya aina tatu: (8GB+128GB), (12GB+256GB) na (12GB+512GB)
View attachment 2446896
Rangi zake ndo hizo hapo juu. Display yake ina 6.73inches na refresh rate ya 120Hz type yake ni LTPO, OLED screen. Display yake ni Corning Gorilla Glass Victus na Resolution yake inafikia 1440×3200p huku aspect ratio yake ikiwa 20:9 na ~522ppi density
View attachment 2446907
8GB/12GB RAM ya Xiaomi 13 pro iko supported na chipset ya Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2, ambayo ndio Snapdragon yenye nguvu zaidi kwa sasa.
View attachment 2446910
Xiaomi 13 pro ni IP68 dust/water resistance. Kwa maji yenye kina cha mita 1.5, simu hii inaweza kukaa chini ya hayo maji mpaka dakika zipatazo 30.
View attachment 2446917
Kamera zipo tatu kwa nyuma na kweli zinafanya kazi nzuri, ukipiga picha bustani, unaweza sema ni Eden. LEICA hanaga kazi mbovu. Specification za kamera ya nyuma ni:
50.3MP (f/1.9) 23mm (wide)
50MP (f/2.0) 75mm (telephoto)
50MP (f/2.2) 14mm, 115° (ultra wide), AF.
Features za kamera ya nyuma ni: LEICA lens, Dual LED dual-tone flash, HDR na panorama. Ina uwezo wa kurekodi 8K videos, 4K na 1080p
8K@24fps (HDR)
4K@24/30/60fps (HDR 10+, 10bit Dolby Vision HDR, 10-bit LOG)
1080p@30/120/240/960fps
1080p@1920fps, gyro EIS
View attachment 2446936
Kamera ya mbele yaani Selfie Camera ni moja tu "Single 32MP (wide)" na features zake ni HDR na Panorama na inarekodi video ambazo ziko limited kwenye 1080p@30fps. Inatoa video nzuri sana, ukiwa nayo Tiktok itakukoma
View attachment 2446957
Xiaomi 13 pro inatumia Stereo speakers, yaani wapenzi wa muziki hapa ndio mahala salama
COMMS
WLAN - Wi-Fi 802.11 a/b/g/n/ac/6e, dual band, WiFi Direct
Bluetooth: 5.3, A2DP, LE
Positioning: GPS (L1+L5), GLONASS(GI), BDS (B1l+B1c+B2a), GALILEO (E1+E5a), QZSS(L1+L5), NavIC (L5)
View attachment 2446988
Xiaomi 13 pro ina accelerometer, proximity, gyro, compass barometer na colour spectrum ambazo ni features zake bila kusahau FINGERPRINT SENSOR iko ndani ya display
Xiaomi 13 pro inatumia Android 13 na imebase kwenye software ya MIUI 14 ambayo imedesigniwa na Xiaomi wenyewe. Maoni mengi ya wa watu juu ya MIUI 14 ni kwamba ni software nzuri, ipo faster na ni kweli imeimprove ukilinganisha na MIUI 13, ambalo ndio toleo lililopita. MIUI 14 ni software kali sana, binafsi nimevutiwa nayo
View attachment 2447000View attachment 2447002
Bila kusahau na battery yake, Non-Removable Li Po 4820mAh. View attachment 2447004
Inakuja na wired charger 120W inayochaji simu hiyo kutoka 0% hadi 100% kwa dakika 19 tu. Pia inaoffer 50W wireless charger inayojaza simu hiyo kwa dakika 36 tu, pia ina 10W reverse wireless charger.
View attachment 2447005
Huko China Xiaomi 13 na 13pro zinaendelea kununuliwa na watu wanapata kuenjoy ulimwengu wa MiView attachment 2447007
Xiaomi 13 pro inanifanya niipende Xiaomi kuliko Apple. Hizi simu ni EXTRA FIRE
View attachment 2447009
Angalia specs za Xiaomi 13 pro hapo chini
View attachment 2447022
Sasahivi unaweza kununua simu zao kutoka official Xiaomi store, China online. Bei zake ni nzuri kama hizo hapo chini
"Xiaomi MIX 4" kwa TSh 1,408,809/=View attachment 2447012
"Xiaomi 12S Ultra" kwa TSh 2,012,728/=View attachment 2447017
"Xiaomi Mi MIX Alpha" kwa TSh 6,709,876/=View attachment 2447018
"Xiaomi 13" kwa TSh 1,341,706/=View attachment 2447021
"Xiaomi 11 Ultra" kwa Tsh 1,341,706/=View attachment 2447024
"Xiaomi Redmi K50 Gaming Edition" kwa TSh 804,889/=View attachment 2447025
Pia usisahau, kama unatafuta simu nzuri chini ya laki nne, Xiaomi Redmi Note 10 5G kuna mahali inauzwa around TSh 333,000/= kule AliExpress. Long live Xiaomi.
View attachment 2447029
China feels proud of Xiaomi
kupost tu kule kwenye uzi wetu wa xiaomi
 
Simu zao nzuri, tatizo ni hiyo MIUI ina mauzi ya hapa na pale kama ku crush, kuwa slow nk. Mi nawahama sasa, tukutane oppo
MI wanazingua sana , Camera sjui zina maruhan , sometime picha zinatoka clear , sometime zinakuwa blurred, mpak urestart simu ndo inakaa mkao , too much update command , alaf app nyingi zinakuwa na matangazo , kwenye music player ina display sio nyimbo zote , zingine mpak ukazitaftie kwenye file manager ,

Sometime ukiweka laini mbili za mtandao mmoja , inakuwa inachelewa kurespond mpak Kero, ukienda kwenye recently call ni empty mpak baada ya mda ina display .... !! Soon nahamia iPhone series
 
Back
Top Bottom