Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,761
- 5,039
Hii, December Xiaomi wameachilia chombo kipya tena, Xiaomi 13 pro. Simu hii inapatikana kwa shilingi za kitanzania kama 2,821,000/= hivi kule AliExpress
Hii ni picha ya Xiaomi 13 pro
Simu hii inakuja na 8/12GB RAM na storage kuanzia 128GB hadi 512 GB, yaani matoleo ya aina tatu: (8GB+128GB), (12GB+256GB) na (12GB+512GB)
Rangi zake ndo hizo hapo juu. Display yake ina 6.73inches na refresh rate ya 120Hz type yake ni LTPO, OLED screen. Display yake ni Corning Gorilla Glass Victus na Resolution yake inafikia 1440×3200p huku aspect ratio yake ikiwa 20:9 na ~522ppi density
8GB/12GB RAM ya Xiaomi 13 pro iko supported na chipset ya Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2, ambayo ndio Snapdragon yenye nguvu zaidi kwa sasa.
Xiaomi 13 pro ni IP68 dust/water resistance. Kwa maji yenye kina cha mita 1.5, simu hii inaweza kukaa chini ya hayo maji mpaka dakika zipatazo 30.
Kamera zipo tatu kwa nyuma na kweli zinafanya kazi nzuri, ukipiga picha bustani, unaweza sema ni Eden. LEICA hanaga kazi mbovu. Specification za kamera ya nyuma ni:
50.3MP (f/1.9) 23mm (wide)
50MP (f/2.0) 75mm (telephoto)
50MP (f/2.2) 14mm, 115° (ultra wide), AF.
Features za kamera ya nyuma ni: LEICA lens, Dual LED dual-tone flash, HDR na panorama. Ina uwezo wa kurekodi 8K videos, 4K na 1080p
8K@24fps (HDR)
4K@24/30/60fps (HDR 10+, 10bit Dolby Vision HDR, 10-bit LOG)
1080p@30/120/240/960fps
1080p@1920fps, gyro EIS
Kamera ya mbele yaani Selfie Camera ni moja tu "Single 32MP (wide)" na features zake ni HDR na Panorama na inarekodi video ambazo ziko limited kwenye 1080p@30fps. Inatoa video nzuri sana, ukiwa nayo Tiktok itakukoma
Xiaomi 13 pro inatumia Stereo speakers, yaani wapenzi wa muziki hapa ndio mahala salama
COMMS
WLAN - Wi-Fi 802.11 a/b/g/n/ac/6e, dual band, WiFi Direct
Bluetooth: 5.3, A2DP, LE
Positioning: GPS (L1+L5), GLONASS(GI), BDS (B1l+B1c+B2a), GALILEO (E1+E5a), QZSS(L1+L5), NavIC (L5)
Xiaomi 13 pro ina accelerometer, proximity, gyro, compass barometer na colour spectrum ambazo ni features zake bila kusahau FINGERPRINT SENSOR iko ndani ya display
Xiaomi 13 pro inatumia Android 13 na imebase kwenye software ya MIUI 14 ambayo imedesigniwa na Xiaomi wenyewe. Maoni mengi ya wa watu juu ya MIUI 14 ni kwamba ni software nzuri, ipo faster na ni kweli imeimprove ukilinganisha na MIUI 13, ambalo ndio toleo lililopita. MIUI 14 ni software kali sana, binafsi nimevutiwa nayo
Bila kusahau na battery yake, Non-Removable Li Po 4820mAh.
Inakuja na wired charger 120W inayochaji simu hiyo kutoka 0% hadi 100% kwa dakika 19 tu. Pia inaoffer 50W wireless charger inayojaza simu hiyo kwa dakika 36 tu, pia ina 10W reverse wireless charger.
Huko China Xiaomi 13 na 13pro zinaendelea kununuliwa na watu wanapata kuenjoy ulimwengu wa Mi
Xiaomi 13 pro inanifanya niipende Xiaomi kuliko Apple. Hizi simu ni EXTRA FIRE
Angalia specs za Xiaomi 13 pro hapo chini
Sasahivi unaweza kununua simu zao kutoka official Xiaomi store, China online. Bei zake ni nzuri kama hizo hapo chini
"Xiaomi MIX 4" kwa TSh 1,408,809/=
"Xiaomi 12S Ultra" kwa TSh 2,012,728/=
"Xiaomi Mi MIX Alpha" kwa TSh 6,709,876/=
"Xiaomi 13" kwa TSh 1,341,706/=
"Xiaomi 11 Ultra" kwa Tsh 1,341,706/=
"Xiaomi Redmi K50 Gaming Edition" kwa TSh 804,889/=
Pia usisahau, kama unatafuta simu nzuri chini ya laki nne, Xiaomi Redmi Note 10 5G kuna mahali inauzwa around TSh 333,000/= kule AliExpress. Long live Xiaomi.
China feels proud of Xiaomi
Hii ni picha ya Xiaomi 13 pro
Simu hii inakuja na 8/12GB RAM na storage kuanzia 128GB hadi 512 GB, yaani matoleo ya aina tatu: (8GB+128GB), (12GB+256GB) na (12GB+512GB)
Rangi zake ndo hizo hapo juu. Display yake ina 6.73inches na refresh rate ya 120Hz type yake ni LTPO, OLED screen. Display yake ni Corning Gorilla Glass Victus na Resolution yake inafikia 1440×3200p huku aspect ratio yake ikiwa 20:9 na ~522ppi density
8GB/12GB RAM ya Xiaomi 13 pro iko supported na chipset ya Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2, ambayo ndio Snapdragon yenye nguvu zaidi kwa sasa.
Xiaomi 13 pro ni IP68 dust/water resistance. Kwa maji yenye kina cha mita 1.5, simu hii inaweza kukaa chini ya hayo maji mpaka dakika zipatazo 30.
Kamera zipo tatu kwa nyuma na kweli zinafanya kazi nzuri, ukipiga picha bustani, unaweza sema ni Eden. LEICA hanaga kazi mbovu. Specification za kamera ya nyuma ni:
50.3MP (f/1.9) 23mm (wide)
50MP (f/2.0) 75mm (telephoto)
50MP (f/2.2) 14mm, 115° (ultra wide), AF.
Features za kamera ya nyuma ni: LEICA lens, Dual LED dual-tone flash, HDR na panorama. Ina uwezo wa kurekodi 8K videos, 4K na 1080p
8K@24fps (HDR)
4K@24/30/60fps (HDR 10+, 10bit Dolby Vision HDR, 10-bit LOG)
1080p@30/120/240/960fps
1080p@1920fps, gyro EIS
Kamera ya mbele yaani Selfie Camera ni moja tu "Single 32MP (wide)" na features zake ni HDR na Panorama na inarekodi video ambazo ziko limited kwenye 1080p@30fps. Inatoa video nzuri sana, ukiwa nayo Tiktok itakukoma
Xiaomi 13 pro inatumia Stereo speakers, yaani wapenzi wa muziki hapa ndio mahala salama
COMMS
WLAN - Wi-Fi 802.11 a/b/g/n/ac/6e, dual band, WiFi Direct
Bluetooth: 5.3, A2DP, LE
Positioning: GPS (L1+L5), GLONASS(GI), BDS (B1l+B1c+B2a), GALILEO (E1+E5a), QZSS(L1+L5), NavIC (L5)
Xiaomi 13 pro ina accelerometer, proximity, gyro, compass barometer na colour spectrum ambazo ni features zake bila kusahau FINGERPRINT SENSOR iko ndani ya display
Xiaomi 13 pro inatumia Android 13 na imebase kwenye software ya MIUI 14 ambayo imedesigniwa na Xiaomi wenyewe. Maoni mengi ya wa watu juu ya MIUI 14 ni kwamba ni software nzuri, ipo faster na ni kweli imeimprove ukilinganisha na MIUI 13, ambalo ndio toleo lililopita. MIUI 14 ni software kali sana, binafsi nimevutiwa nayo
Bila kusahau na battery yake, Non-Removable Li Po 4820mAh.
Inakuja na wired charger 120W inayochaji simu hiyo kutoka 0% hadi 100% kwa dakika 19 tu. Pia inaoffer 50W wireless charger inayojaza simu hiyo kwa dakika 36 tu, pia ina 10W reverse wireless charger.
Huko China Xiaomi 13 na 13pro zinaendelea kununuliwa na watu wanapata kuenjoy ulimwengu wa Mi
Xiaomi 13 pro inanifanya niipende Xiaomi kuliko Apple. Hizi simu ni EXTRA FIRE
Angalia specs za Xiaomi 13 pro hapo chini
Sasahivi unaweza kununua simu zao kutoka official Xiaomi store, China online. Bei zake ni nzuri kama hizo hapo chini
"Xiaomi MIX 4" kwa TSh 1,408,809/=
"Xiaomi 12S Ultra" kwa TSh 2,012,728/=
"Xiaomi Mi MIX Alpha" kwa TSh 6,709,876/=
"Xiaomi 13" kwa TSh 1,341,706/=
"Xiaomi 11 Ultra" kwa Tsh 1,341,706/=
"Xiaomi Redmi K50 Gaming Edition" kwa TSh 804,889/=
Pia usisahau, kama unatafuta simu nzuri chini ya laki nne, Xiaomi Redmi Note 10 5G kuna mahali inauzwa around TSh 333,000/= kule AliExpress. Long live Xiaomi.
China feels proud of Xiaomi