MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,824
- 4,384
Xi kamualika Samia???
Acheni masihara.
Acheni masihara.
Kweli Diplomasia Inarejea taratibu mwisho anamalizia na Katiba, ona jamaa mzuka ulivyompanda safi sana.
Naunga hoja,,awe makini na mikopo yao,,wanakuonesha ramani matata na kukupa mchongo kuwa wakikukopesha ukajenga kitega uchumi fulani pesa utapiga za kutosha baada ya kukubali huo mkopo huwa haulipiki na mwisho wanachukua hilo eneo na kuwa lao daima.wachina hawa si wa kuamini hata kidogo, at any time t anaweza kukuingiza chaka.
Xi kamualika Samia???
Acheni masihara.
Na bandari ya Bagamoyo iliyoshindikana.Kikwete aliwapa gesi ya mtwara huyu anaenda kuwapa nini?
Na bandari ya Bagamoyo iliyoshindikana.
Isingekuwa kelele nyingi, huyu Samia angekuwa shaisakamia. Hata hivyo nina hakika haikosi kuwa moja ya jambo litakalokuwa mbele yao katika mazungumzo.
Ninaamini SGR haikosekani katika mjadala huo, na TAZARA.
Nina wasiwasi sana na Samia juu ya maslahi na hatma ya nchi yetu, lakini tutafanya nini, ndivyo CCM walivyoamua iwe.
Tuombe sana tuvuke salama katika miaka hii michache.
Unaonaje nikikupeleka wewe huko kama ndiko unakokupenda wewe. Usidhani una hati miliki kwa vile tu mtu wako yupo hapo juu sasa hivi.Kuna option ya kwenda burundi wahi nafasi zimebaki chache.
Hakuna ambaye hatamani kushirikiana na Rais Samia kwa Sasa maana kila kiongozi ametambua kuwa Rais Samia Ni kiongozi mwenye maono makubwa Sana ya kiuongoziRais wa Jamhuri ya watu wa China, Xi Jinping amemualika Rais wa Tanzania, Samia Suluhu nchini humo kuanzia tarehe 2 Nov hadi tarehe 4 November 2022 ziara ya kikazi.
Kila la heri Rais Samia katika ziara yako. Mengi mtakayojadili ni kwa faida ya watanzania.
Kwenye katiba mpya inayokuja tumwambie Rais maongezi yanayohusu nchi yawe must kuwa public .nb ndugai akikaribishwa ka mfalme china na kugeuka kuwa speaker wa bandari ya bagamoyo
Utakufa na presha ya wivuXi kamualika Samia???
Acheni masihara.
Rais wa Jamhuri ya watu wa China, Xi Jinping amemualika Rais wa Tanzania, Samia Suluhu nchini humo kuanzia tarehe 2 Nov hadi tarehe 4 November 2022 ziara ya kikazi.
Kila la heri Rais Samia katika ziara yako. Mengi mtakayojadili ni kwa faida ya watanzania.
Kwa jinsi Wachina walivyo, huenda Madam President naye akatunukiwa Udaktari wa Heshima endapo atakubaliana na masharti ya ujenzi wa Bagamoyo na mikataba mingine ya kinyonyaji. JK alikula shavu la Uprofesa kwa mikataba ya namna hiyo.Rais wa Jamhuri ya watu wa China, Xi Jinping amemualika Rais wa Tanzania, Samia Suluhu nchini humo kuanzia tarehe 2 Nov hadi tarehe 4 November 2022 ziara ya kikazi.
Kila la heri Rais Samia katika ziara yako. Mengi mtakayojadili ni kwa faida ya watanzania.
recently, the Chinese Embassy in Tanzania held an online training course on Juncao technology from October 11 to 24
two sides are expected to see more growth potential in sectors such as key infrastructure projects
Katika mambo ambayo Jamhuri ya uchina inalaumiwa kwa uwekezaji na mikopo katika nchi zilizoendelea ni swala la kuweka mikataba tata ya uwekezaji na baadae kukamata vitega uchumi muhimu kwa nchi husika pale zinaposhindwa kulipa madeni kwa wakati na kwa riba iliyokubaliwa rejea (Kenya na Zambia)Swafiiii sana!
Hao China watusamehe madeni yetu walahi![]()