Wadau nauliza kati ya playststion3 na xbox360 nani mkali?wasilisha maoni yako kama ulishawahi kuzicheza game hizo[;?/color],halafu mwisho wa yote tunamtangaza mshindi.
kwanza naomba nikurekebishe hizo sio games ni vifaa vya kuchezea games(yaani CONSOLES).
Tukiludi katika kulicho ulizwa; kila kifaa hapo kina makali na mapungufu yake, tukianza na speed of processing PS3 iko juu kuliko 360, lakini 360 ina graphics qualiti kubwa kuliko PS3![]()
PS3 muonekano wake umekaa ki katuni zaidi ukilinganisha na 360 ambapo muonekano wa mtu umekaa mihalisia zaidi
![]()
Tukiludi katika mipengele cha upatikanaji wa games hapa PS3 kamtupa mbalisana 360, PS3 ina magame menge na ya bei nafuu kuliko 360.
BEYOUND GAMES PS3 WINS kwa kutoa Blue Ray compatibility Kwaa jili ya movies lovers pia inauwezo wa kucheza movies za 3D, wakati hapa 360 kaishia kwenye HD-DVD.
YANGU NI HAYO TU WADAU WENGINE WATAJAZIA
mbona mumeacha wii pemben mueken na yeye tuone
haha, bonge la point!!kwanza naomba nikurekebishe hizo sio games ni vifaa vya kuchezea games(yaani CONSOLES).
sidhani kuna cha kuongeza hapo mkuu, umecover point zote za maana. ndio graphics za xbox 360 zipo higher (na ni baadhi ya games tu) lakini haina games nyingi kama za ps3, inacheza (movies) mfumo wa .mp4 pekee yake, haina bluray, new xbox 360 kinect ni unhackable (which kwangu is a huge no! no!) na mengine mengi. ps3 foreverkatika mipengele cha upatikanaji wa games hapa PS3 kamtupa mbalisana 360, PS3 ina magame menge na ya bei nafuu kuliko 360.
•BEYOND GAMES PS3 WINS kwa kutoa Blue Ray compatibility Kwa ajili ya movies lovers pia ina uwezo wa kucheza movies za 3D, wakati hapa 360 kaishia kwenye HD-DVD.
duh... Hyo wii ni aina gan hyo..,
Hii ni game la nintendo linaitwa wii ni competitor na ps3, na xbox 360.
Ni successor ya gamecube kama kawaida yao wazee wa series.
Ilianza nes ikaja snes, ikaja game boy, ikaja gameboy advance ikaja nds ikaja gamecube now ni wii
duh.,, nahtaj shule mpaka leo nmetumia super mario, super sonic. Ps 1 na ps 2 bas... 3 na x box bado.... Ngoja njipange...
Hii ni game la nintendo linaitwa wii ni competitor na ps3, na xbox 360.
Ni successor ya gamecube kama kawaida yao wazee wa series.
Ilianza nes ikaja snes, ikaja game boy, ikaja gameboy advance ikaja nds ikaja gamecube now ni wii
nurbert, naona kama unasema snes au nes. ila kama control yake ina pembe tau, unasema n64
ilikuwa inatumia cd au catridge?
umesahau n64 na 3ds.
list ni hivi..
Color TV Game>NES>SNES>N64>Game Cube>Wii
ninatofautisha Video Game Consoles na Hand helds because nintendo wameuza always these two hand in hand (not to mention kuwa moja ni portable, nyingine ni ya TV :biggrin🙂
Game &Watch> Game Boy>Game Boy Color> GBA> GBA sp (ilikuwa design ya pili ya GBA lakini naichukulia kama maendeleo)> DS>3DS
nimeown at one time or the other all these nintendo consoles pembeni na 3ds & Wii, because nimependa sana sana mario, legends of zelda, pokemon,golden sun, street fighter na final fantasy (final fantasy is my all time fav. franchise eva!!) ambazo most of the times zilikuwa ni nintendo exclusive (mario, legend of zelda..) lakini siku hizi sioni kikubwa na nintendo hence why sina 3ds au wii
then ukifika kwa controls za wii (although najua wengi watabisha) hizo controls hazifurahishi hata kamwe kwenye serious gaming. while zilikuwa fun siku za snes, i cant see myself nikicheza modern warfare au COD kwa kutumia hizo controls