Huwa najisikia vibaya sana anavyonitafuta, na nilishamkanya aache tabia yake lakini hasikii. Huwezi amini kwa mara ya kwanza allinitafuta yuko fungate.
Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile App
Hivi ukiachana na mtu unabaki na no?? Ya nn sasa
Exactly mkuu kama ulikuwepo
Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile App
Nilishamblock whatsapp akahamia kwenye sms za kawaida
Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile App
Mimi sijamtamani, wala sina time nae.KWANI TATIZO LIKO WAPI MKUU??ACHA TAMAA NA WAKE ZA WENZIO
Mimi sijamtamani, wala sina time nae.
Shida ni yeye anahangaika kupiga sim, na akipiga sim missed calls 21, sms 7.
Nahisi mumewe hamfikishi.
Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile App
Hahahahahah vikojoleoHawagisanishi vikojoleo wao ni kupiga stori tu
...naombeni ushauri je kuna madhara yoyote kupokea simu zake??
Inaelekea uko bomba SAS kwanin mlitenganaMimi sijamtamani, wala sina time nae.
Shida ni yeye anahangaika kupiga sim, na akipiga sim missed calls 21, sms 7.
Nahisi mumewe hamfikishi.
Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile App
Aliyekuwa bibie wangu ambaye kwa sasa yuko ndani ya ndoa na mtu mwingine, anajitahidi sana kunitafuta ile hali anajua nimeshaoa nae ameshaolewa tena ndoa yake ni changa.
Naombeni ushauri je kuna madhara yoyote kupokea simu zake??