Kuna manzi nilidate nae kwa miaka 3, tumeachana mwaka sasa, lkn yule mtoto aliniambia hata tukiachana na akaolewa hawezi nisahau maisha.sasa km ana pesa kwann muachane!
Ana maliza primary15-06-2013, hii ni tarehe ya tukio gani??
hapo sawa nitaelewa!ndo jina hilo mkuu!
Kuna manzi nilidate nae kwa miaka 3, tumeachana mwaka sasa, lkn yule mtoto aliniambia hata tukiachana na akaolewa hawezi nisahau maisha.
Tulizinguana kwa ishu moja serious, nina mwingine nw na yeye kashapata mwenzie.
lkn mpk kesho hua tunaibia gegedo.
Unajua kuna vitu ukimpa mwanamke na akaenda kuvikosa lzm akutafute tu.
Mtoto nikimgegedaa inabidi niwe na kitambaa nimzibe mdomo wake tena kwa nguvu.
Juzi nimempa show ya nguvu huku anajutia kunifahamu, anawaza akifunga ndoa itakuwaje?
Siwez kurudiana nae kozi ni mjeuri kidogo, na mimi si unajua ni Mangi, napenda sana kusujudiwa na kuogopwa, nahisi ninaweza kuja kuuwa nikimuoa
Hebu atulie... Tuna mambo mengine ya msingi zaidi.Ana maliza primary
Mrs air bhanahahahhaa serious mie haijawah nitokea nikaachana na men alafu nikarudiana nae huwa nahis sitakuwa na hisia nae tena! yaan najua kbs huyu hana jipya kwangu!khaaaa! labda na nyie mnakutanaga na vimeo zaidi! mie nina bahat ya kupanda DARAJA kila napotemana na mtu so inanisaidia sana kutokumbuka ya nyuma aic!hongera!
Ndio maana nasema umepitia mapenzi ya hovyo.hahahhaa serious mie haijawah nitokea nikaachana na men alafu nikarudiana nae huwa nahis sitakuwa na hisia nae tena! yaan najua kbs huyu hana jipya kwangu!khaaaa! labda na nyie mnakutanaga na vimeo zaidi! mie nina bahat ya kupanda DARAJA kila napotemana na mtu so inanisaidia sana kutokumbuka ya nyuma aic!hongera!
Mrs air bhana
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Nilishamblock whatsapp akahamia kwenye sms za kawaidasi umblock km unaijali ndoa yake! hv kwann huwa ma x mnaanzaga kuwasiliana ! ukweli mie huwa sielew! sasa kwann mliachana km mnapendana namna hyo nakila mtu kaoa/kuolewa!khaa! mie haitakaa itokee ex ni SCRAPER TU! hakuna namna!
Huwa najisikia vibaya sana anavyonitafuta, na nilishamkanya aache tabia yake lakini hasikii. Huwezi amini kwa mara ya kwanza allinitafuta yuko fungate.wewe binafsi unajisikiaje, upokee ama la?
Ujue ukijaribu kuwaelewa wanawake, hutakaa uweze hadi unaingia kaburini. sasa tumia akili yako ya kuzaliwa