Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,827
- 3,569
Niko makini kaka. Nafuta immediately baada ya kusoma.Ukikamatwa wewe unajua nini kitaendelea, futa, delete, hata format simu, kuna siku utapitiwa tu.
Msg zenyewe hazina shida kwangu kwa sababu ni maneno tu, hakuna hata moja yenye matendo, lakini najua mwenzie akiziona siyo rahisi kunielewa hata nikimueleza vipi. Na huyu X sitaki kumuumiza kwa kumkataza kuongea, namsikiliza na kumshauri. Najisikia kama nina deni kwake kwa sababu nilimuumiza zamani, sasa yalishapoa sipendi aumie tena.
Yeye ndiye bingwa wa kuandika msg, mimi nikiwa na la kujibu nampigia.