Kama kitu hukijui tuliaa tu kimya mkuu sio kila kitu lazma uchangie, unachanganya madesa ya WWE na UFC mm nilizungumzia UFC ndo nikamzungumzia O'Connor macgrigory a.k.a the notorious ambaye soon utamuona akizichapa na Floyd money Mayweather junior anamfata huko huko kwenye boxing kumharibia record thn hiko kifupi unachokisemea connor nlishakisahau maana sio fan wa mieleka tangu nikue
We tahaira kweli hata jina lenyewe hujui..mchimba chumvi baki huko uvinza.
Huyo Dwarf..kwanza unajua maana ya Dwarf? Yani midget? Kama hujui nenda gugo..jina lake ni Connor McGregor...sasa we unajifanya unaijua UFC kumbe mbulula tu..
Yani me nichanganye UFC na WWE? We mavi kweli..nazaliwa tu kitu cha kwanza kujua ilikua WWE makalio wewe.
Nilistop WWE miaka mingi iliyopita ...
Afu UFC naangalia sana kila PPV lazima nicheki...na Fight NIghts zote...mfano ni iyo ya Juzi...UFC Denver ambapo Francis Ngannno jamaa wa Cameroon... heavyweight uyo kampiga TKO former heavyfeight Pitbull....wakina Cerrone, wameangukia pua.
Sasa we mchimba chumvi sikia...uyo McGregor anapigania divisheni za dwarf huko chini midget...mimo huawaga siangaalii ma dwarf... mimi huwaga nacheki light heavyweight ya kina Rumbe, Bones na DC na heavyweight ya kina Cain, Miocic, Werdum, Reem,Mark Hunt, Roy Nelson , Big Ben, Cigano
Sometimes nachek game za middleweight mana divisheni imekua interesting ile watu kama Bisbing, Yomero, Weidman,Silva, Jacaro etc
Sasa we mchimba chumvi uko uvinza...usione watu hawapost hayo mambo ukajua ni wachimba chumvi wenzio....hayo mambo yako kwenye damu..sema simchekigi uyo mbilikimo mcgreror na wenzake kina jose aldo.
Mavi wewe