WWE John Cena autwaa mkanda wa WWE Championship

WWE John Cena autwaa mkanda wa WWE Championship

duh sjawah kuiskikia hyo channel mkuu inapatikana wap kwa msaada zaid
Hii inapatikana kwenye receiver zenye uwezo wa kufungua powervu unatumia dish kuanzia 6ft unaipata bure pasipo kulipia hata sh 1/=
 
mimi uwa nachukulia mieleka kama movie tu ambazo jambaz, anakufa kiuongo na watu wanafurahi tena afadhali wrestling mana wana take real risk mkuu
Kama unaangalia kama movie na unainjoy hapo safi sana mkuu mimi nilikua nawaambia wale wanaoamini kinachofanyika pale ni real fight kuwa ile ni show tu kinachofanyika pale kila kitu walikifanyia mazoez before so pale wanaonesha tu thn kama mtu kaumia basi jua ni bahati mbaya wanasema the trick goes wrong
 
Kama unaangalia kama movie na unainjoy hapo safi sana mkuu mimi nilikua nawaambia wale wanaoamini kinachofanyika pale ni real fight kuwa ile ni show tu kinachofanyika pale kila kitu walikifanyia mazoez before so pale wanaonesha tu thn kama mtu kaumia basi jua ni bahati mbaya wanasema the trick goes wrong
kweli mkuu
 
Kama unaangalia kama movie na unainjoy hapo safi sana mkuu mimi nilikua nawaambia wale wanaoamini kinachofanyika pale ni real fight kuwa ile ni show tu kinachofanyika pale kila kitu walikifanyia mazoez before so pale wanaonesha tu thn kama mtu kaumia basi jua ni bahati mbaya wanasema the trick goes wrong
mh wale watazamaji woote waingie kuangalia maigizo tu!!!! sidhani mkuu. ile ni real fight but wanasheria zao za jinsi ya kupigana thats all
 
Yani we akili ndogo sana....sasa Connor ndo mbabe???
Na kina Bones, Rumble, Reem, Miocic,tusemeje??
Au kisa ni Dwarf mwenzako?????
Kama kitu hukijui tuliaa tu kimya mkuu sio kila kitu lazma uchangie, unachanganya madesa ya WWE na UFC mm nilizungumzia UFC ndo nikamzungumzia O'Connor macgrigory a.k.a the notorious ambaye soon utamuona akizichapa na Floyd money Mayweather junior anamfata huko huko kwenye boxing kumharibia record thn hiko kifupi unachokisemea connor nlishakisahau maana sio fan wa mieleka tangu nikue
e337e3da482799b4dadb93c571d6363c.jpg
 
Kama kitu hukijui tuliaa tu kimya mkuu sio kila kitu lazma uchangie, unachanganya madesa ya WWE na UFC mm nilizungumzia UFC ndo nikamzungumzia O'Connor macgrigory a.k.a the notorious ambaye soon utamuona akizichapa na Floyd money Mayweather junior anamfata huko huko kwenye boxing kumharibia record thn hiko kifupi unachokisemea connor nlishakisahau maana sio fan wa mieleka tangu nikue
e337e3da482799b4dadb93c571d6363c.jpg
mcgregory mkali namkubali ila kwa floyd atatulia sana mkuu
 
mh wale watazamaji woote waingie kuangalia maigizo tu!!!! sidhani mkuu. ile ni real fight but wanasheria zao za jinsi ya kupigana thats all
Mkuu fatilia vizuri utakubaliana na mm hata mm nilikua kama ww ila nikabaini ukweli ndio maana hata kwenye olympic hamna hiyo kitu au umewahi ckia chombo chochote cha habari duniani kikitoa news za game za WWE kwenye sports news?
 
ule mchezo ni mzuri sana kuangalia ila kucheza ni hatari
 
mcgregory mkali namkubali ila kwa floyd atatulia sana mkuu
Mkuu floyd ni mjanja mjanja kama unamfatilia utajua hilo sio fighter mzuri ila anajua kucheza na muda huwez muweka level zozote hata za akina Tyson Achana na The GOAT huyu jamaa ni janja janja hata last game umeona alikua anazunguka tu uwanja mda uishe sasa tuje kwa macgregory huyu kwanz Ashakula ngumi nyingi za UFC nadhan unajua gloves za wale jamaa ni kuzuia tu nakoz sasa akupigwa na lile puto la boxing c ataona mchezo tu then jamaa anangumi nzito sana angalia game zake kibao kashinda kwa TKO hivyo tutegemee pambano zuri sana japo najua Mayweather junior hawez kubali kukutana na yule jamaa anazuga tu apate umaarufu at the end atagoma kama unafatilia ashaanza mdisi mmiliki wa UFC kwa kutaka 25mill dollars kila pambano atalocheza O'Connor nje ua UFC
 
John Cena amempiga AJ Styls katika 2017 Royal Rumble WWE Championship match
Ohoooo john cena namkubali sana , bila kumsahau mr dx na vijana wake hahaa mieleka raha sana hasa ya WWE
 
Mkuu floyd ni mjanja mjanja kama unamfatilia utajua hilo sio fighter mzuri ila anajua kucheza na muda huwez muweka level zozote hata za akina Tyson Achana na The GOAT huyu jamaa ni janja janja hata last game umeona alikua anazunguka tu uwanja mda uishe sasa tuje kwa macgregory huyu kwanz Ashakula ngumi nyingi za UFC nadhan unajua gloves za wale jamaa ni kuzuia tu nakoz sasa akupigwa na lile puto la boxing c ataona mchezo tu then jamaa anangumi nzito sana angalia game zake kibao kashinda kwa TKO hivyo tutegemee pambano zuri sana japo najua Mayweather junior hawez kubali kukutana na yule jamaa anazuga tu apate umaarufu at the end atagoma kama unafatilia ashaanza mdisi mmiliki wa UFC kwa kutaka 25mill dollars kila pambano atalocheza O'Connor nje ua UFC
haha jamaa kamdis sababu mc...utajiri wake ni dola 2.5m sasa iweje atake dolla 25 m..tukirud kimchezo mcgregoy mateke yanamsaidia pia ila kwa boxing hakuna hilo ...kikubwa tuombee pambano lije kweli tujionee
 
Back
Top Bottom