Ww unakumbuka ulianza na simu ipi????

Ww unakumbuka ulianza na simu ipi????

Yes cornerstone, ndo hiyohiyo, nakumbuka ilikuwa mwaka 2001 July.


kumbe umeanza kutumi jana jioni sakapal wangu, ila kama unajimudu miliki simu usijefuga mbwa ukitegemea matapishi ya jirani kama baadhi ya kina dada wa mjini kila saa nitumie hata mia tano sasa mia tano ni hela ya kuomba kwenye simu kweli. maani mimi mwenzio nilinza na tritel enzi hizo nilikuwa naogopa kweli kuibonyeza maana kila dakika ilikuwa inajilock naenda kwenye ofisi zao bibi titi road pale unakuta foleni maana enzi zili tulikuwa tunaenda kulipia muda wa maongezi kwenye ofisi basi utakuta msururu wa wateja wengine tunalalamikia mabo ya kijinga kweli ushamba ni gharama
 
c25 ilikuwa2001,nibonyeza usikumzima nikablock number yangu,sinikakwangua karatasi la PUK kama vocha! Nikafuta namba, asubuhi nikaenda kwa muhindi anifanyee utaratibu waku renew akaniambia haiwezekani natakiwa kununua line nyingine ikanitotoka elf 9.daa tulikotoka!
 
View attachment 71307

me ya kwanza ni ya 1 ilikuwa

Number 2 na 9 hadi leo hii nipo nazo na zinapiga mzigo kasoro battery ndio kimeo. Mimi nimeanza na motorola hata model sikumbuki ika unachomoa antenna kama simu za kichina zenye TV alafu zilikuwa analog hata sms service hakuna ila kale ka-mobitel kangu kalikuwa na hiyo feature

motorola-m3788-1998.jpg


Sent from my GT-S5570 using Tapatalk 2
 
Mie nilikuwa na motorola fulani ya kuchomoa arial hiyo 1998 ya pili ikawa nokia ringo 3 ilikua na arial kama kidole,wakati huo no sim card
 
Nilianza na Nokia 909, ya Mobitel!ilikuwa mwaka 1998 upige simu usipige inalipa dola moja kila siku (so kumiliki simu lazima uwe na dola 30 za umilikaji kila mwezi. duh!hawa jamaa wametuvuna sana!)
 
Yangu siemens A 50 dole gumba nilinunuliwa kama zawadi mwaka 2001 nikiwa form 2
 
View attachment 71307

me ya kwanza ni ya 1 ilikuwa

Kweli mwanzisha mada bado "cha mtoto" sana mimi ya kwanza hapo haipo kipindi hiko Buzz kuna simu za Motorola unalipa kwa bill na interms of us dollars na either utumie au usitumie ilikuwa unakatwa dollar moja kwa siku. Ilikuwa expensive sana kuwa na simu hata namba 4 pia nimetumia sana
 
Siemens c25 nimeitundika kiunoni hahahahaaaa umenikumbusha kuna jamaaa nilimuomba nim-bipu kaka ili anipigie jamaa akanijibu kuwa simu yake haina button ya kubipia.....I can not forget this till i die

Ahaa ahaa, teh teh! Nimecheka sana karibia nivunjike mbavu. Kweli huyo jamaako alikuwa mwisho wa matatizo, eti simu yake haina bip button! Teh teh teh. JF neva boaring aisee!
 
upesi upesi huwezi kuamini but ndio ukweli wenyewe
Ahaa ahaa, teh teh! Nimecheka sana karibia nivunjike mbavu. Kweli huyo jamaako alikuwa mwisho wa matatizo, eti simu yake haina bip button! Teh teh teh. JF neva boaring aisee!
 
upesi upesi huwezi kuamini but ndio ukweli wenyewe

Afu kumbe alikuwa Masai mze? Duh kumbe kuna wamasai wajanja tena enzi hizo. Nikikumbuka iyo no bip batan nacheka sn.
 
Dah, mpaka nimesahau mada. Mkuu Elli umenichekesha sana leo. Mi nilianza na nokia 2300, k2 6button ni mwk 2005. Sitasahau make nilikuwa addicted na game ya snake, hata usingizi ukikata naanza game kama kawa mpaka chaji inaisha. Cku hizi si watoto wala watu wakubwa wanaanza na mchina, kweli watakumbuka toleo?
 
Mi nilianza na siemens M-35 mwaka 2000,nilinunua kwa teja 70000/=ki2 kina vibration ya kufa m2. Line ya celtel nilimvua jamaa'ngu kwa tshs 5000. Nitambaje?! Sikuambii!
 
Nilianza na sieman cf62
9ahe7any.jpg


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
Mi nilianza na siemens sl 45, enzi hizo form one mwaka 2004... Yaani mtu akija kutuma sms basi nmepata Tsh 200 ya kununua mboga.
 
Back
Top Bottom